Thursday, March 28, 2013

Mbunge Catherine magige atoa misaada arusha
















NA SHAABAN MDOE,ARUSHA.
MTOTO yatima wa jinsia ya kiume aliyedaiwa kutupwa na mmoja wa wazazi wake katika lango la kuingilia katika kituo cha kulelea watoto waishio katika mazingira magumu cha Faraja Ophanage Home amemliza mbunge wa jumuiya ya vijana(UVCCM)mkoa wa Arusha Catherine Magige.
Magige ambaye pia ni mkurugenzi wa taasisi ya misaada ya Catherine Foundation aliangua kilio hicho alipokua akipokea taarifa kuhusu kituo hicho kutoka kwa mkurugenzi wake mchungaji Faraja Maliaki kilichopo eneo la Nduruma jijini Arusha alipofika kwaajili ya kukabidhi misaada mbalimbali kwaajili ya watoto hao kusherehekea sikukuu ya Pasaka.
Mbali na misaada hiyo aliyoitoa katika kituo hicho pia Catherine alimwaga misaada mingine katika hospitali ya mkoa ya Mount Meru Arusha na kituo kingine cha kulelea yatima cha Lohaga kilichopo eneo la Shangarai jijini Arusha.
Misaada hiyo ni ile ya kibinadamu ikiwemo Mbuzi mnyama wawili,Mchele,Mafuta ya kula,Sabuni za unga za kipande na kipande za kufulia,Juisi,Pipi kwa watoto.
Magige alifikwa na hali hiyo na kushindwa kujizuia na kuangua kilio mbele ya watoto wanaolelewa katika kituo cha Faraja na watu waliomsindikiza baada ya kupokea taarifa kuwa miongoni mwa watoto hao yupo mmoja aliyeokotwa nje ya langola kuingilia kituoni hapo anayedaiwa kutupwa na mama yake.
Akitoa maelezo ya kituo chake mbele ya mbunge huyo mkurugenzi huyowa wa kituo alisema siku moja asubuhi motto huyo aliokotwa na wahudumu wake akiwa usingizini pasipo kufahamika aliyemtupa.
Alisema mara baada ya kuokotwa kwa mtoto huyo walijaribu kumtafuta muhusikakwaajili ya kuzungumza nae na kuona sababu zilizomfikisha kufanya maamuzi hayo na ikiwezekana kumpatia msaada lakini haikuwezekana na mpaka sasa wanamlea motto huyo.
Alisema alianzisha kituo hicho kwa mambo makuu mawili ikiwemo kuwasaidia watoto hao waishio katika mazingira magumu na kuwaondo wasichana wanaojiuza katika biashara hiyo hatari.
Alisema hadi sasa kituo hicho kinalea na kuwasomesha watoto 200 wenye umri tofautitofauti pamoja na wasichana waliokua wakifanya biashara ya kujiuza katika maeneo mbalimbali ya jiji la Arusha likiwemo eneo maarufu la Mrina.
Alisema miongoni mwa watoto hao wanaolelewa kituoni hapo wapo zaidi ya 20 walioathirika na ugonjwa wa ukimwi ambapo kutokanana hali zao wanaendelea kuwapatia virutubisho mbalimbali pamoja na vidongewa ARV kwaajili yakurefusha maisha yao.
Alisema pamoja na mazuri yote wanayoyafanya kituoni hapo bado kituo kinakabiliwa na changamoto malimbali zikiwemo za ukosefu wa fedha za chakula hali inayosababisha watoto kula mlo mmoja.
Pia alisema changamoto nyingine niya ukosefu wa malazi ambapo watoto wengine wanalazimika kulala katika maturubai yanayotandikwa chini kwa maisha yao yote hali inayoweza kuwasababisha mardhi yatokanayo na baridi ikiwemo Limonia.
Pia aliishukuru taasisi ya Catherine Foundation kwa msaada walioutoa kwakua utawezesha watoto hao kujisikia wapo katika makazi yao na wazazi wao katika kipindi hichi cha sikukuu ya Pasaka kutokana na ukweli kuwa wengi wao wamekua wakitamani hali hiyo muda wote wa maisha yao.
Akizungumzia Changamoto hizo kwa shida kutokana na kukabwa na kilio muda wote Magige alisema amejonea na kusikia changamoto hizo naatafanya juhudi zake binafsi pamoja na wadau wengine ili kuweza kuzitatua changamoto hizo ili kuwaweka katika mazingira mazuri.
Akizungumzia misaada aliyoitoa katika hospitali ya Mount Meru kupitia taasisi yake hiyo Magige alisema itawawezesha wagonjwa na wazazi kusherehekea vyema sikukuu ya Pasaka pamoja na kutojiona kama wametengwa katika kipindi hicho kigumu cha kuugua,kuuguza na kulea.
Alisema hii ni mara ya pili kwa taasisi yake kutoa misaada ya kibinadamu tangu kuzinduliwa kwa taasisi yake hiyo hapa mkoani Arusha ambapo siku ya uzinduzi iliweza kutoa baiskeli zaidi ya 20 kwa walemavu mbalimbali wa viungo.

TANZANIA FLAG WENT EXTREME HIGH IN ACADEMICS IN THE PHILIPPINES


 Samuel B. Kakai, a newly graduate of M.A Education Administration and newly enrolled PhD in Education Administration, knocked down an Administrative Educational Comprehensive Exam on February 26, 2013 and joined the 97th Graduation ceremonies of Adventist International Institute of Advanced Studies during the Commencement exercise held in Siew Huy Auditorium AIIAS, Lalaan I, Silang - Cavite, Metro Manila, Philippines on March 10, 2013.
 Other students who also pass the Comprehensive Exam are Sumi Kim (Korea), Zhirong Xi (China) and Samuel Kakai (Tanzania); unfortunately other students could not make it.
 Kakai successful graduated from Adventist International Institute of Advanced Studies of the General Conference of SDA World Church. The Masters Degree in Education Administration & Supervision was conferred to Kakai by President Dr. Stephen Guptill of AIIAS.
 Fellow Tanzanians who witnessed Kakai’s victory are; Samson Semwenda (Tanzanian Students President in the Philippines ‘2013’), David Mpwani, Esther Otieno and Yared Nkoswe.
 Kakai will soon return home (Morogoro - Tanzania). Besides him is Drs. Samuel & Prema Gaikwad. However, Kakai have promised to serve his fellow citizen to achieve their academic goals and build the Nation.
The Security Guard from the Philippines was alarmed to make sure no one will take the Tanzanian ‘Gold Medal’.

 On the left is Dr. Denise Dunzweiler (Dean of Education AIIAS), middle is Kakai a graduate and right is Dr. Shwana Vyhmeister Chairperson of Education AIIAS.
 Finally Kakai said “May God bless Tanzania!!! Glory and Honor be unto God for His mercies endure forever” (Psalms 136).
 Kakai pauses with his vice president for Academy affairs Dr.&Mrs. Frederick “Dolf” Obelholster.

Wednesday, March 27, 2013


PRESS RELEASE

Dar es Salaam 27th March 2013

EU TO SUPPORT TANZANIA IN PROTECTING ITS FOREST

THE Joint Research Centre of the European Union (Institute for the Environment and Sustainability) and the Tanzania Forest Services (TFS) Agency under the Ministry of Natural Resources and Tourism(MNRT) have today signed a collaboration agreement aimed to help to curb the alarming rate of deforestation in the country. THE CA is complementary to the on-going NAFORMA , the first ever National forest Assessment in Tanzania, initiate in 2009 and currently in its final stages.  Under the agreement, both sides have agreed to cooperate in mapping the land cover changes and forest degradation assessment in support to national readiness initiative for REDD+ (Reducing Emissions from Deforestation and forest Degradation).

The signing ceremony was held today Wednesday 27thd March at the headquarters of the Ministry of Natural Resources and Tourism in Dar es Saalam.

Through NAFORMA, which is jointly financed by the Government of Finland and Tanzania,   with technical support by the Food and Agriculture Organisation of the United Nations (FAO), and the EU, Tanzania is mapping the entire country to assess its forest resources including the size of the carbon stock stored within its forests. This information will feed into better policymaking to ensure Tanzania’s most valuable forests are either conserved or utilized in a sustainable way. This would help mitigate climate change but would also help the country in other ways such as managing its water resources and sustaining biodiversity and rural livelihoods.

Under the agreement, European Union and the Tanzanian Government agreed to collaborate in obtaining scientific data needed to produce scientific information to meet data needs of potential future REDD+ mechanism, improving co-ordination and effectiveness of co-operation efforts between TFS-MNRT and the European Union in the field of monitoring forest resources in the United Republic of Tanzania and in African Countries in general.

Other areas of agreement are promotion of mutual interest and co-operation in understanding and resolving issues related to the feasibility of including forest degradation as a key activity of the REDD initiative, deepening of understanding of the scientific, economic and social issues relating to wood extraction as the main national source of energy. Specifically, it focuses on the estimation of fuel-wood supply forecasts and the prediction of fuel consumption under future energy scenarios in Tanzania, promotion of exchange of tools based on earth observation techniques, dedicated to deforestation monitoring and forest degradation detection and organization of capacity-building activities and scientific workshops in the domains of monitoring of forest resources.

On his part the Head of the Delegation of the European Union to Tanzania, Ambassador Filiberto Ceriani Sebregondi said that the Collaboration Arrangement marks a further step in the technical support provided by the European Union through the Joint Research Centre to Tanzania Forest Service Agency for sustainable forest management and also marks another chapter in our continued close collaboration with the UN Food and Agriculture Organization (FAO).

"The agreement gives the opportunity for both partners to benefit from each other’s skills on an equal basis. We hope that, as a result, the joint work of scientists at the JRC and forest managers here in Tanzania can be taken as a reference for other countries wishing to establish a comprehensive forest monitoring system that meets all aspects of the  United Nations Framework Convention on Climate Change," said Ambassador Sebregondi.


For more information contact:
Tom Vens, Head Political, Press and Information Section EU Delegation to Tanzania 

Mazingira ya uwekezaji kuendelea kuboreshwa zaidi - Dkt. Nagu


Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwezeshaji na Uwekezaji DKT. Mary Nagu (katikati) akifurahia jambo na viongozi wa makampuni ya china (kushoto) ni Mkuu wa chama cha ushirikiano cha China Bw. Charles Li wakiwa wanaonyesha bango lenye maandishi ya lugha ya China kuonyesha ushirikiano kati ya China na Tanzania (kulia) ni Mwenyekiti wa Bodi wa WCUGA International Group Bw. Tiger Liang.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC) Bw. Raymond Mbilinyi (kushoto) akiwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji, DKT. Mary Nagu wakielekea katika ukumbi wa kivukoni katika Hotel ya Serena jijini Dar es Salaam juzi jioni kuonana na ujumbe wa wawekezaji wa china kwa ajili ya kujadili namna ya kuangalia fursa mbalimbali za uwekezaji hapa nchini. Ujumbe huo wa makampuni kumi na tano toka nchini China uliongozwa na Mkuu wa chama cha ushirikiano cha China Bw. Charles Li.

Na Mwandishi Wetu,Dar es Salaam

Serikali Imesema itaendelea kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ikiwa ni sehemu ya kutanua wigo wa huduma za jamii na kukuza uchumi wa nchi kupitia sekta hiyo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji na Uwezeshaji , Dkt. Mary Nagu aliuambia ujumbe wa makampuni kumi na tano kutoka nchini China, uliokuja kujionea fursa mbalimbali za uwekezaji hapa nchini kuwa serikali ina mkakati kabambe wa kuendelea kuboresha mazingira ya uwekezaji.

“Serikali na bajeti yake haitoshi kuwapa watanzania mahitaji yao ya ajira na huduma za jamii, pale ambapo kuna mradi unaleta faida kwa mwekezaji lazima tuhakikishe tunawachia wawekezaji ili fedha za bajeti ya serikali ziende kwenye huduma nyingine za jamii kama elimu” alisema Waziri Nagu katika chakula cha jioni kilichoandaliwa kwa wawekezaji hao jijini Dar es Salaam juzi usiku.

Alisisitiza kuwa kama kuna fedha ambazo zimetengwa kwa ajili ya barabara na hapo hapo kuna mwekezaji anataka kuwekeza katika sekta hiyo ni bora wawekezaji wapewe hiyo fursa ili serikali ielekeze nguvu katika sekta nyingine ambazo zinahitaji uwekezaji katika kusaidia wananchi.

Akizungumzia ujumbe wa makampuni kumi na tano ya kutoka nchini china, Waziri Nagu alisema wamepata moyo wakuja kuangalia fursa mbalimbali za kiuwekezaji kutokana na agizo la Rais wa nchi yao Bw. Xi Jin Ping kutembelea hapa nchini.

“Kutokana na maagizo ya Rais wa China kwamba wamewekeza katika nchi nyingine, sasa wakati umefika kuwekeza katika bara la Afrika hasa kwa nchi ya Tanzania, hivyo ni fursa ya kipekee kwa watanzania kutoa ushirikiano katika kufanya kazi na watu wa china”, alisisitiza DKT. Nagu.

Aliongeza kuwa lililo muhimu kwa sasa ni wawekezaji kuelekezwa kwenye faida, na ndio maana ameonana na ujumbe wa makampuni hayo na kuwaambia kuwa kuna fursa mbalimbali hapa nchini ambazo wakiwekeza watapata faida na nchi pia ifaidike kutokana na rasilimali zake.

“Naomba nichukue nafasi hii kuwakaribisha wawekezaji hawa kutoka china waone fursa hizi na fursa zipo wazi, kazi ya Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) ni kuwezesha wawekezaji waweze kuwekeza na kuona Tanzania inapata manufaa ya ajira, kodi itaongezeka na uchumi utakuwa”, aliongeza.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Bw. Raymond Mbilinyi, alisema mara baada ya kukutana na makampuni hayo yapatayo kumi na tano, tayari yameonyesha nia ya kuja kuwekeza katika maeneo mbalimbali hapa nchini.

“Baada ya kukutana na taasisi za serikali na zile za binafsi makampuni haya yameonyesha nia ya dhati kuwekeza katika maeneo ya Elimu, Umeme, miundo mbinu, kilimo na afya” alisema Mbilinyi.

Aliongeza kuwa China ni moja ya nchi ambazo zinaongoza kwa uwekezaji hapa nchini, ikiwa ni nchi ya nne katika kuwekeza, huku akisisitiza kuwa baada ya muda mfupi inaweza kuwa nchi ya kwanza kutokana na juhudi kubwa inazofanya katika eskta hiyo.

“Sisi TIC inatupa moyo sana na hii ni kutokana na viongozi wetu wawili Rais Jakaya Kikwete na Rais wa China Xi Ji Ping kuonyesha njia na nia ya dhati, hivyo sekta binafsi kutoka China na Tanzania zitaweza kuwekeza kwa kasi katika Taifa letu”, aliongeza Kaimu Mkurugenzi huyo wa (TIC).

Tuesday, March 26, 2013

UMOJA WA MATAIFA WAKUMBUKA UTUMWA NA BIASHARA YA UTUMWA

 BANGO  lilombeba ujumba wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya  kumbukumbu ya  utumwa na biashara ya utumwa, maadhimisho ambayo yalifikie kilele Marchi 25 hapa  Umoja wa Mataifa.
Biashara ya utumwa haikufanyika kupitia bahari ya Atlantik peke yake bali hata Bahari ya Hindi kwa watumwa waliotoka Afrika ya Mashariki, Balozi za Tanzania na Kenya katika Umoja wa Mataifa, zilifanya onesho la Khanga zilizobeba ujumbe mbalimbali, kama sehemu ya kuenzi utamaduni mwa mwafrika na wakati huo huo kukitangaza kiswahili, washiriki wa tamasha la utamaduni ambalo lilikukwenda samabamba na vyakula vya asili ya afrika walifurahia sana tafsri ya kila ujumbe uliokuwa katika khanga hizo.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon akizungumza wakati wa maadhimisho hayo, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza Jumuiya ya Kimataifa kuendelea kupambana na utumwa unaoendelea hivi sasa kila pembe ya dunia.
wanamuziki hawa walisindikiza mwanamziki mwigine kutoka Afrika ya Magharibi, Benyoro ambay naye alikuwa kivutio kikubwa.
Somi Mwanamziki wa Kizazi kipya wa Muziki wa Jazi, kutoka Afrika ya Mashariki naye aliwapagaisha washiriki wa tamasha la muziki kwa vibao vyake murua vilivyokuwa na radha ya muziki wa Jazi kwa kuchanganya na midundo ya kibantu ambayo mwenyewe anaita " New African Jazz" Somi alitambuliwa kama Baba yake ni Muganda na Mama yake Mnyarwanda.
Kikundi cha Utamduni kutoka nchini Cameroon wakitumbuiza wakati wa Tamasha maalum la Muziki kuadhimisha kumbukumbu ya waathirika wa utumwa.
wanamuziki hawa waliokuwa pamoja na Steel Pulse wakicharaza magitaa yao kwa uhodari mkubwa pali kuwa hapatoshi.
Steel Pulse mwanamuziki wa kimataifa wa muziki wa Rock ambaye amekuwa akitumia kipaji chake kuelimisha na kuhamasisha kuhusu ukatili anaotendewa mtu mweusi, Bw. Steel Pulse alikuwa kati ya wanamuziki waliotumbuiza katika tamasha maalum la kuwaenzi waathirika wa utumwa na biashara ya utumwa.
Mwanamuzi mwingine maarufu kwa kulicharaza gitaa na ambaye pia ni Mjumbe Maalum wa UNESCO katika mradi wa kutafiti njia za Biashara ya Utumwa akiimbia kwa hisia kali wakati wa Tamasha la Muziki, Marcus Miller amewahi kushinda mara mbili Tuzo ya Grammy katika midundo ya American Jazz.
Professa Ali Mazrui, Mwanazuoni maarufu akisaidiwa kuketi kabla ya kuzungumza katika siku hii ya maadhimisho ya kumbukumbu ya utumwa na biashara ya utumwa .
hii ni Nakala Halisi ya Tangazo la Ukombozi wa Watumwa ( Emancipation Proclamation) iliyotiwa sahihi mwaka 1864 na Rais Abraham Lincoln na aliyekuwa Waziri wake wa Mambo ya Nje wakati huo, Bw. William H. Seward. Nakala hii ambayo ilioneshwa pamoja na maonesho mengine yaliyohusu utumwa na biashara ya utumwa ni kati ya nakala 48 ambazo Rais Lincoln alizisaini, na zikauzwa kwa dola kumi kila moja kati ya juni 7 hadi 29, 1864 huko Philadelphia kwa lengo la kupata fedha za kuwasaidia maveterani wa vita. inasemekana ni kati ya nakala hizo 48 ni 26 tu ndiyo bado zipo moja ikiwa ni hii ambayo ilipatikana kwa hisani ya Bw. Lawrance Benson.
hawa pia wanatoka Cameroon wakiburudisha.
Professa Mazrui akizungumza ambapo pamoja na mambo mengine alielezea histotia ya utumwa na biashara ya utumwa pamoja na harakati mbalimbali zilizopelekea kukomeshwa kwa biashara hiyo. pamoja na kusisitiza haja na umuhimu wa kuendelea kuwaenzi waathirika wa ukatili huo, alitaka pia kuenzi yale mema ambayo baadhi yake ni matokeo ya historia hiyo ya Utumwa, Professa Mazrui alikuwa mzungumzaji mkuu katika maadhimisho haya ambayo hufanyika Machi 25 ya kila mwaka.

Monday, March 25, 2013

CHINESE PRESIDENT XI JINPING AT THE MWALIMU NYERERE CONVENTION CENTRE

President Jakaya Mrisho Kikwete and his guest Chinese President Xi Jinping take a souvenir photo with their wives before the Chinese leader handed over the centre to Tanzania and made his maiden speech in his first visit to Africa.


 President Jakaya Mrisho Kikwete and his guest Chinese President Xi Jinping applaud and later take their seats







































































* China's new president in Africa on first foreign trip
* Officials reject accusations of new colonialism
* After Tanzania, Xi heads to South Africa, Congo
By Fumbuka Ng'wanakilala and George Obulutsa
DAR ES SALAAM, March 25 (Reuters) - China's new president told Africans on Monday he wanted a relationship of equals that would help the continent develop, responding to concerns that Beijing is only interested in shipping out its raw materials.
On the first stop on an African tour that will include a BRICS summit of major emerging economies, Xi Jinping told Tanzanian President Jakaya Kikwete that China's involvement in Africa would help the continent grow richer.
"China sincerely hopes to see faster development in African countries and a better life for African people," Xi said in a speech laying out China's policy on Africa, delivered at a conference centre in Dar es Salaam built with Chinese money.
Renewing an offer of $20 billion of loans to Africa between 2013 and 2015, Xi pledged to "help African countries turn resource endowment into development strength and achieve independent and sustainable development".
 
Africans broadly see China as a healthy counterbalance to Western influence but, as ties mature, there are growing calls from policymakers and economists for a more balanced trade deal.
"China will continue to offer, as always, necessary assistance to Africa with no political strings attached," Xi said to applause. "We get on well and treat each others as equals."
But gratitude for that aid is increasingly tinged with resentment about the way Chinese companies operate in Africa where industrial complexes staffed exclusively by Chinese workers have occasionally provoked riots by locals looking for work.
Countering concerns that Africa is not benefitting from developing skills or technology from Chinese investment, Xi said China would train 30,000 African professionals, offer 18,000 scholarships to African students and "increase technology transfer and experience".
"ALL-WEATHER FRIENDS"
"The Sino-Tanzania relationship has endured a lot," said Tanzania's Kikwete, whose nation built close ties with China in the early years after independence from the British in 1964. "Now we have become all-weather friends."
China built a railway linking Tanzania and Zambia in the 1960s and early early 1970s.
The two leaders witnessed the signing of trade and other deals, including plans to co-develop a new port and industrial zone complex, a loan for communications infrastructure and an interest free loan to the government. No details were given on the size of the loans or the industrial projects.
Xi's next stop is South Africa for a BRICS summit on Tuesday and Wednesday where he could endorse plans for a joint foreign exchange reserves pool and an infrastructure bank.
Those proposals respond to frustrations among emerging markets at having to rely on the World Bank and International Monetary Fund, which are seen as reflecting the interests of the United States and other industrialised nations.
Nigeria's central bank governor, Lamido Sanusi, wrote in the Financial Times this month that the trade imbalance between China and Africa was "the essence of colonialism" and cautioned the continent was vulnerable to a new form of imperialism.
China is keen not to be perceived as an imperial master.
"The legacy of (the) West is the feeling that Africa should thank them, and that Africa should recognise that it is not as good as the West," Zhong Jianhua, China's special envoy to Africa, said before Xi's trip. "That is not acceptable."
Lu Shaye, head of the Chinese Foreign Ministry's African affairs department, said it was the West which was only interested in African resources, not China.
"What have Western countries done for Africa in the 50 years since independence? Nothing. All they have done is criticise China and that is unfair," he told a Hong Kong television station, in remarks carried on the ministry's website.
Xi's African tour ends in Republic of Congo, from where China imported 5.4 billion tonnes of oil last year, just 2 percent of its total oil imports, but potentially the source of a lot more.