Saturday, November 30, 2013

COMMUNIQUÉ OF THE 15TH ORDINARY SUMMIT OF THE EAC HEADS OF STATE



Theme: One People, One Destiny: Towards Monetary Union


SPEKE RESORT AND CONFERENCE CENTRE, KAMPALA, UGANDA


30TH NOVEMBER, 2013

EAC SECRETARIAT
KAMPALA, UGANDA
NOVEMBER, 2013




COMMUNIQUÉ


1.         THE EAST AFRICAN COMMUNITY HEADS OF STATE, THEIR EXCELLENCIES PRESIDENT UHURU KENYATTA OF THE REPUBLIC OF KENYA, PRESIDENT JAKAYA MRISHO KIKWETE OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, PRESIDENT YOWERI KAGUTA MUSEVENI OF THE REPUBLIC OF UGANDA, PRESIDENT PIERRE NKURUNZIZA OF THE REPUBLIC OF BURUNDI AND PRESIDENT PAUL KAGAME OF THE REPUBLIC OF RWANDA HELD THE 15TH ORDINARY SUMMIT OF THE EAST AFRICAN COMMUNITY HEADS OF STATE AT THE SPEKE RESORT AND CONFERENCE CENTRE IN KAMPALA, UGANDA ON 30TH NOVEMBER 2013. THE HEADS OF STATE AND GOVERNMENT MET IN A WARM AND CORDIAL ATMOSPHERE.

2.         THE BUREAU OF THE SUMMIT WAS CHANGED WHEREBY THE REPUBLIC OF KENYA TOOK OVER FROM THE REPUBLIC OF UGANDA AS CHAIRPERSON AND THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TOOK OVER FROM THE REPUBLIC OF BURUNDI AS THE RAPPORTEUR. THE INCOMING CHAIRPERSON EXPRESSED HIS GRATITUDE TO THE OUTGOING CHAIRPERSON FOR HIS STEWARDSHIP OF THE INTEGRATION PROCESS DURING THE LAST ONE YEAR.

3.         THE SUMMIT EXPRESSED ITS SOLIDARITY WITH THE PEOPLE OF THE REPUBLIC OF KENYA FOLLOWING THE BARBARIC ATTACK BY THE AL-SHABAAB TERRORISTS ON WESTGATE MALL, NAIROBI AS A RESULT OF WHICH PEOPLE LOST THEIR LIVES AND PROPERTY DESTROYED, AND BUSINESS DISRUPTED. THE SUMMIT REITERATED ITS COMMITMENT TO THE COLLECTIVE SAFEGUARD OF THE PEACE AND SECURITY FOR THE PEOPLE OF EAST AFRICA. THE SUMMIT ALSO EXPRESSED ITS SYMPATHY WITH THE PEOPLE OF THE REPUBLIC OF KENYA FOLLOWING THE DISASTROUS FIRE AT THE JOMO KENYATTA INTERNATIONAL AIRPORT AND DIRECTED TO ESTABLISH RELIABLE MECHANISMS FOR DISASTER RESPONSE AND RISK MANAGEMENT FOR THE EAC REGION.

4.         THE SUMMIT RECEIVED THE ANNUAL REPORT OF THE COUNCIL OF MINISTERS COVERING THE PERIOD NOVEMBER 2012 – NOVEMBER 2013 AND NOTED THE STEADY PROGRESS MADE IN THE COMMUNITY IN PARTICULAR ON PROGRESS ON REMOVAL OF NON-TARIFF BARRIERS. THE SUMMIT COMMENDED THE COUNCIL FOR THE PROGRESS MADE IN DIFFERENT PROGRAMMES OF THE COMMUNITY.

5.         THE SUMMIT CONSIDERED A MECHANISM FOR THE IMPLEMENTATION OF OUTSTANDING SUMMIT DECISIONS AND:-
a)         DIRECTED THE SECRETARY GENERAL IN CONSULTATION WITH THE RELEVANT HEADS OF STATE TO REPORT REGULARLY ON THE IMPLEMENTATION OF DECISIONS INCLUDING NON-COMPLIANCE AND DECIDED THAT THE STATUS OF IMPLEMENTATION REMAINS A STANDING ITEM ON THE AGENDA OF THE SUMMIT.
b)         UNDERTOOK TO REPORT ON INDIVIDUAL PARTNER STATES’ IMPLEMENTATION OF DECISIONS INVOLVING THEIR RESPECTIVE COUNTRIES AT EVERY ORDINARY SUMMIT
c)         DIRECTED THE SECRETARIAT TO PREPARE A COMPREHENSIVE LIST ON NON IMPLEMENTATION OF ALL DECISIONS FOR CONSIDERATION AT THE 12TH EXTRAORDINARY SUMMIT IN APRIL 2014.
d)         DIRECTED THE COUNCIL TO PRESENT A REPORT ON ALTERNATIVE FINANCING MECHANISM INCLUDING THE OPTION OF 1% OF IMPORTS FROM OUTSIDE THE EAST AFRICAN COMMUNITY IN PRINCIPLE OF FINANCIAL SOLIDARITY AND EQUITY AND REPORT TO THE SUMMIT AT ITS 12TH EXTRA-ORDINARY MEETING IN APRIL 2014.
e)         DIRECTED THE COUNCIL TO SUBMIT PROGRESS REPORTS IN IMPLEMENTATION OF MAJOR DECISIONS AND DIRECTIVES OF THE COUNCIL AND THE SUMMIT EVERY SIX MONTHS.

6.         THE SUMMIT DIRECTED THE COUNCIL TO CONCLUDE THE EAC INSTITUTIONAL REVIEW AND REPORT TO THE SUMMIT AT THE 12TH  EXTRA-ORDINARY MEETING IN APRIL 2014; AND

7.         THE SUMMIT APPOINTED DR. EMMANUEL UGIRASHEBUJA FROM THE REPUBLIC OF RWANDA JUDGE OF THE EAST AFRICAN COURT OF JUSTICE (APPELLATE DIVISION) TO REPLACE HON. LADY JUSTICE EMILY RUSERA KAYITESI WHO RESIGNED. THIS APPOINTMENT TAKES EFFECT FROM 1ST DECEMBER 2013.

8.         THE SUMMIT APPOINTED HON. LADY JUSTICE MONICA MUGENYI FROM THE REPUBLIC OF UGANDA JUDGE OF THE EAST AFRICAN COURT OF JUSTICE (FIRST INSTANCE DIVISION) TO REPLACE HON.LADY JUSTICE MARY STELLA ARACH AMOKO, DEPUTY PRINCIPAL JUDGE WHO IS RETIRING. THIS APPOINTMENT TAKES EFFECT FROM 1ST DECEMBER 2013.

9.         THE SUMMIT DESIGNATED HON. MR. JUSTICE ISAAC LENAOLA AS DEPUTY PRINCIPAL JUDGE TO REPLACE HON. LADY JUSTICE MARY STELLA ARACH AMOKO. THIS DESIGNATION TAKES EFFECT FROM 1ST DECEMBER 2013.

10.       THE SUMMIT RECEIVED THE REPORT ON THE ATTAINMENT OF THE SINGLE CUSTOMS TERRITORY.  THE SUMMIT NOTED THAT THE FRAMEWORK FOR THE OPERATIONALISATION OF THE SINGLE CUSTOMS TERRITORY HAD BEEN FINALISED AND ADOPTED BY THE COUNCIL. THE SUMMIT DIRECTED THAT THE SINGLE CUSTOMS TERRITORY COMMENCES ON 1ST JANUARY 2014 AND THAT ALL OPERATIONAL REQUIREMENTS BE FINALISED BY JUNE 2014.

11.       THE SUMMIT RECEIVED THE PROGRESS REPORT ON THE NEGOTIATIONS FOR THE ADMISSION OF THE REPUBLIC OF SOUTH SUDAN INTO THE EAST AFRICAN COMMUNITY. THE SUMMIT OBSERVED THAT THE COUNCIL OF MINISTERS HAD ESTABLISHED A HIGH LEVEL NEGOTIATION TEAM TO CONDUCT THE NEGOTIATIONS AND ENABLE THE SUMMIT MAKE A DECISION ON THE MATTER AT THE 12TH EXTRA-ORDINARY SUMMIT IN APRIL 2014.

12.       THE SUMMIT RECEIVED THE PROGRESS REPORT ON THE VERIFICATION OF THE APPLICATION OF THE REPUBLIC OF SOMALIA TO JOIN THE EAST AFRICAN COMMUNITY. THE SUMMIT NOTED THAT THE TERMS OF REFERENCE FOR THE VERIFICATION PROCESS HAD BEEN DEVELOPED AND A VERIFICATION COMMITTEE PUT IN PLACE. THE SUMMIT DIRECTED THE COUNCIL OF MINISTERS TO SUBMIT PROGRESS REPORT ON THE VERIFICATION EXERCISE AT THE 16TH ORDINARY SUMMIT IN NOVEMBER 2014.

13.       THE SUMMIT RECEIVED THE PROGRESS REPORT ON THE ROADMAP FOR THE ESTABLISHMENT OF THE EAST AFRICAN FEDERATION. THE SUMMIT NOTED THAT THE REVISED MODEL STRUCTURE, ROAD MAP AND ACTION PLAN WILL BE CONSIDERED BY THE COUNCIL OF MINISTERS AND SUBMITTED TO THE 12TH EXTRA-ORDINARY SUMMIT MEETING IN APRIL 2014.

14.       THE SUMMIT APPROVED AND SIGNED THE PROTOCOL ON THE ESTABLISHMENT OF THE EAST AFRICAN MONETARY UNION AND DIRECTED THAT:
 a)         ALL PARTNER STATES SHOULD CONCLUDE THE RATIFICATION PROCESS OF THE EAMU PROTOCOL BY JULY, 2014;
b)         THE COUNCIL OF MINISTERS SHOULD IMPLEMENT THE ROADMAP TO SINGLE CURRENCY AS INDICATED IN THE SCHEDULE ON THE EAMU PROTOCOL;
c)         THE FOLLOWING INSTITUTIONS NECESSARY FOR THE IMPLEMENTATION OF THE EAMU BE ESTABLISHED:-
i)          THE EAST AFRICAN MONETARY INSTITUTE
ii)         THE EAST AFRICAN STATISTICS BUREAU TO BE RESPONSIBLE FOR STATISTICS
iii)         THE EAST AFRICAN SURVEILLANCE, COMPLIANCE AND ENFORCEMENT COMMISSION TO BE RESPONSIBLE FOR SURVEILLANCE, COMPLIANCE AND ENFORCEMENT; AND
iv)        THE EAST AFRICAN FINANCIAL SERVICES COMMISSION TO BE RESPONSIBLE FOR FINANCIAL SERVICES.
 d)         THE COUNCIL OF MINISTERS DEVELOPS THE BILLS FOR THE ESTABLISHMENT OF THE INSTITUTIONS PROVIDED IN THE PROTOCOL FOR CONSIDERATION BY THE EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY AS PROVIDED FOR IN THE ROAD MAP;
e)         THE COUNCIL OF MINISTERS APPRISES THE SUMMIT ON THE PROGRESS MADE ON IMPLEMENTATION OF THE ROADMAP TO SINGLE CURRENCY AT EVERY ORDINARY SUMMIT.

15.       THE SUMMIT NOTED THAT THE SECTORAL COUNCIL ON FINANCE AND ECONOMIC AFFAIRS WILL BE RESPONSIBLE FOR THE IMPLEMENTATION OF THE MONETARY UNION PROTOCOL.

16.       THE SUMMIT APPROVED THE COUNCIL RECOMMENDATION TO EXTEND THE JURISDICTION OF THE EAST AFRICAN COURT OF JUSTICE TO COVER TRADE AND INVESTMENT AS WELL AS MATTERS ASSOCIATED WITH THE EAST AFRICAN MONETARY UNION. ON HUMAN RIGHTS MATTERS AS WELL AS CRIMES AGAINST HUMANITY, THE SUMMIT DIRECTED THE COUNCIL OF MINISTERS TO WORK WITH THE AFRICAN UNION ON THIS MATTER.

17.       THE SUMMIT DIRECTED THAT THE INTERNATIONALIZED NEW GENERATION EAST AFRICAN PASSPORT BE LAUNCHED BY NOVEMBER 2015.

18.       THE SUMMIT DISCUSSED THE PREVAILING SECURITY SITUATION AND THE NEED FOR CONCERTED EFFORTS TOWARDS COMBATING TERRORISM AND NEGATIVE FORCES IN THE REGION AND REAFFIRMED ITS COMMITMENT TO THE PEACE AND SECURITY IN THE REGION.

19.       THE SUMMIT NOTED WITH CONCERN THE RECENT POLITICAL AND SECURITY DEVELOPMENTS IN SOMALIA AND URGED ALL PARTIES TO EMBRACE DIALOGUE AND CREATE AN ENVIRONMENT CONDUCIVE FOR THE IMPLEMENTATION OF SOMALIA’S VISION 2016 AND FACILITATE THE ELECTIONS BY 2016.

20.       THE SUMMIT TOOK NOTE OF THE UN SECURITY COUNCIL RESOLUTION 2124 ADOPTED ON 12TH NOVEMBER 2013 REGARDING ENHANCING THE MILITARY CAPACITY OF THE AMISOM AND THE SOMALI NATIONAL FORCES AND CALLED FOR THE REVIEW OF THE RESOURCE PACKAGE TO ASCERTAIN ITS ADEQUACY TO FACILITATE CONTINUITY AND STRENGTHENING OF THE MILITARY CAMPAIGN AGAINST AL-SHABAAB.

21.       THE SUMMIT REITERATED ITS CONTINUED SUPPORT FOR THE GOVERNMENT OF SOMALIA AND CALLED UPON REGIONAL BODIES AND THE INTERNATIONAL COMMUNITY TO COME FORWARD AND SUPPORT ECONOMIC, SOCIAL AND POLITICAL INTERVENTIONS GEARED TOWARDS ENHANCING THE CAPACITY OF THE SOMALI GOVERNMENT AND ITS GOVERNANCE INSTITUTIONS TO FULFIL ITS MANDATE AND MEET THE EXPECTATIONS OF ITS CITIZENS.

22.       THE SUMMIT REAFFIRMED THEIR SUPPORT FOR THE EFFORT OF THE ICGLR/SADC MEMBER STATES AND THE INTERNATIONAL COMMUNITY ON THE ONGOING PEACE INITIATIVES AIMED AT STABILIZING EASTERN DRC, AND IN THAT REGARD, ENCOURAGED THE EAC PARTNER STATES TO SUPPORT THE ONGOING POLITICAL PROCESS (KAMPALA DIALOGUE), WHICH SHOULD BE CONCLUDED AS SOON AS POSSIBLE.

23.       THE SUMMIT NOTED THE JUSTIFIABLE CAUSE FOR THE NEED TO HARMONISE THE TERMS AND CONDITIONS OF SERVICE FOR THE ELECTED MEMBERS OF THE EAST AFRICAN LEGISLATIVE ASSEMBLY WITH THOSE OF ALMOST EQUAL STATUS WITHIN THE COMMUNITY. THE SUMMIT APPROVED A LUMPSUM INCREMENT OF USD 1,206 PER MEMBER WITH EFFECT FROM 1ST JULY 2014.

24.       THE SUMMIT COMMENDED THE INITIATIVE BY THE MEDIA IN THE REGION TO FORM A BODY THAT WILL REPRESENT THEIR INTEREST AND PLAY A MORE ROBUST ROLE IN PROPAGATING THE INTEGRATION ISSUES. 

25.       THE SUMMIT DIRECTED THE COUNCIL OF MINISTERS TO STUDY THE MODALITIES OF INCLUDING FRENCH AS A LANGUAGE OF THE COMMUNITY IN ADDITION TO ENGLISH AND KISWAHILI.

26.       THEIR EXCELLENCIES, PRESIDENT PAUL KAGAME OF THE REPUBLIC OF RWANDA, PRESIDENT, UHURU KENYATTA OF THE REPUBLIC OF KENYA, PRESIDENT JAKAYA MRISHO KIKWETE OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA, AND PRESIDENT PIERRE NKURUNZIZA OF THE REPUBLIC OF BURUNDI THANKED THEIR HOST, HIS EXCELLENCY PRESIDENT YOWERI KAGUTA MUSEVENI OF THE REPUBLIC OF UGANDA, FOR THE WARM AND CORDIAL HOSPITALITY EXTENDED TO THEM AND THEIR RESPECTIVE DELEGATIONS DURING THEIR STAY IN UGANDA.


DONE AT KAMPALA, THIS 30TH DAY OF NOVEMBER 2013



….…………………...
….…………………...
….…………………...
….…………………...
….…………………...
H.E. UHURU KENYATTA
PRESIDENT OF THE
REPUBLIC OF KENYA
H.E. JAKAYA MRISHO KIKWETE
PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
H.E. PIERRE NKURUNZIZA
PRESIDENT OF THE
REPUBLIC OF BURUNDI
H.E. PAUL KAGAME
PRESIDENT OF THE REPUBLIC OF RWANDA
H.E. YOWERI KAGUTA MUSEVENI
PRESIDENT OF THE REPUBLIC OF UGANDA


Mhe Angela Kairuki afungua mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angelah Kairuki akifungua Mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume
 Mwenyekiti wa Tume Mhe Jaji Aloysius Mujulizi akisoma taarifa yake wakati wa kufungua mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume
  Baadhi ya Wastaafu wa Tume wakiwa katika mkutano wa maadhimisho ya miaka 30 ya Tume.
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ambaye sasa ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Mhe Jaji Mstaafu Damian Lubuva akichangia mada wakati wa maadhimisho ya miaka 30 ya Tume
 Spika Mstaafu Mhe Pius Msekwa akiwasilisha mada wakati wa mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume
  Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa na Kamishna wa Tume Bw. George Liundi akichangia mada katika Mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ambaye sasa ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa Mhe. Jaji Profesa Ibrahim Juma akitunukiwa Cheti na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angelah Kairuki
 Picha ya pamoja ya Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angelah Kairuki na Wenyeviti wastaafu wa Tume
 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angelah Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu Watendaji wastaafu wa Tume waliokaa Bw. Nathaniel Issa (Kulia) na Bw. Japhet Sagasii (wa pili kulia).
Picha ya Pamoja baina ya Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angelah Kairuki na washiriki wa Mkutano wa maadhimisho ya miaka 30 ya Tume.  Picha zote na Munir Shemweta LRCT

TOVUTI KUU YA SERIKALI YAZINDULIWA RASMI, TAARIFA NA HUDUMA MBALIMBALI SASA KUPATIKANA KWA NJIA YA MTANDAO.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda (katikati) akiwa ameambatana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma Celina Kombani wakiwasili katika Ofisi za Wakala ya Serikali Mtandao kupata maelezo ya Tovuti Kuu ya Serikali kabla ya kuizindua tovuti hiyo leo jijini Dar es salaam.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi rasmi wa Tovuti Kuu ya Serikali www.tanzania.go.tz itakayowawezesha wananchi kupata taarifa na huduma mbalimbali za serikali kwa urahisi, haraka na kwa wakati. Wanaoshuhudia kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma Celina Kombani na Dkt. Jabiri Bakari ,Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao ambao ni wasimamizi wa Tovuti hiyo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifurahia jambo mara baada ya kuzindua Tovuti Kuu ya Serikali na kuwataka wananchi kuitumia katika kupata taarifa mbalimbali za serikali.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipata maelezo kuhusu uundwaji wa Tovuti Kuu ya Serikali na namna inavyoendeshwa kutoka kwa Mkurugenzi wa Msaidizi wa Mifumo Shirikishi ya Umma Bw. Fratern Hassani (kulia) katika Ofisi za Wakala ya Serikali Mtandao wasimamizi wa Tovuti Kuu ya Serikali. Wengine wanaosikiliza kutoka kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Wakala hiyo Dkt. Jabiri Bakari, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejiment ya Utumishi wa Umma Celina Kombani,Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia Prof. Makame Mbarawa, Makatibu wakuu na watendaji wengine wa serikali.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza jambo mara baada ya kupata maelezo kuhusu mifumo ya uendeshaji wa Tovuti Kuu ya Serikali alipokutana na wataalam wanaosimamia Tovuti hiyo katika Ofisi za Wakala ya Serikali Mtandao jijini Dar es saalam. Picha na 6. Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakitekeleza makumu yao wakati wa uzinduzi wa Tovuti Kuu ya serikali katika ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao Dkt. Jabiri Bakari akitoa ufafanuzi kwa wadau mbalimbali juu ya wa namna Tovuti Kuu ya Serikali inavyofanya kazi na namna ya kupata taarifa za serikali wakati wa uzinduzi wa Tovuti hiyo jijini Dar es salaam.
Wafanyakazi wa Wakala ya Serikali Mtandao waliofanikisha uzinduzi wa Tovuti Kuu ya serikali.
Baadhi ya Viongozi wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ambayo ndiyo msimamizi wa maudhui ya Tovuti Kuu ya Serikali kupitia Idara ya Habari –MAELEZO waliohudhuria Uzinduzi wa Tovuti Kuu hiyo.Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Bw. Raphael Hokororo akifuatiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene.
Waandishi wa habari wakiwajibika. Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.

Na. Aron Msigwa – MAELEZO,Dar es Salaam.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda amesema kuwa kuanzia sasa wananchi wanaweza kupata taarifa na huduma mbalimbali za serikali kwa urahisi zaidi  kwa njia ya mtandao katika maeneo wanayoishi bila hata kulazimika kufika kwenye ofisi husika.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Tovuti Kuu ya Serikali jana jioni jijini Dar es salaam, Mh Pinda amesema kuwa tovuti kuu ya serikali sasa itawawezesha wananchi kupata taarifa ya huduma mbalimbali za serikali na namna ya kupata huduma hizo kwa njia ya mtandao na kupunguza usumbufu wa kulazimika kusafiri eneo moja hadi jingine kupata ufafanuzi wa masuala mbalimbali.

 Alisema tovuti hiyo inayopatikana sasa kwa anuani ya www.tanzania.go.tz ni mojawapo  ya juhudi za Serikali  katika kuhakikisha kuwa taarifa na huduma zinazotolewa na Serikali zinapatikana na kuwafikia wananchi kwa urahisi,  wakati wowote na mahali popote ndani na nje ya nchi.

Alieleza kuwa tovuti  hiyo  ni moja ya mafanikio makubwa katika kutimiza dira ya muda mrefu ya kuwa na dirisha moja linalotoa taarifa na huduma zinazotolewa na Taasisi  za Serikali kwa urahisi na kuongeza kuwa licha ya kurahisisha upatikanaji wa taarifa itawapunguzia Wananchi usumbufu kwa kuokoa muda wa kufuatilia taarifa hizo kutoka eneo moja hadi jingine.

Alisema kuwa taarifa za masuala mbalimbali kuhusu Kilimo, Biashara, Viwanda, Ufugaji, Masoko, Elimu na nyingi zinazohusu taifa la Tanzania sasa zinapatikana kupitia Tovuti Kuu ya Serikali na kutoa wito kwa wananchi kuitumia tovuti hiyo.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma Celina Kombani akizungumza wakati wa uzinduzi huo alisema kuwa uzinduzi huo umekuja kwa wakati muafaka kutokana na kuwepo kwa mahitaji makubwa ya taarifa mbalimbali za serikali zinazowahusu wananchi katika masuala ya biashara, uwekezaji, kilimo, ufugaji, uhamiaji, nishati na madini na masuala mengine yanayohusu maisha ya kila siku.

Alisema kuwa Menejimenti ya Utumishi wa Umma itaendelea kufanya kazi bega kwa beg na Wakala ya serikali Mtandao kuhakikisha inaijengea uwezo ili iweze kutekeleza majukumu yake ipasavyo ya kuwahudumia wananchi.

Naye Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Serikali Mtandao ambao ndio wasimamizi wa tovuti hiyo Dkt. Jabiri Bakari akizungumza wakati wa uzinduzi huo alisema kuwa Wakala ya serikali anayoisimamia itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali  katika kutoa huduma zake kwa wananchi.

Alisema wakala kwa kushirikiana na Wizara, taasisi, mikoa na Halmashauri za wilaya itaweza kuwahudumia wananchi kwa kuhakikisha kuwa taarifa za serikali zinapatikana kwa urahisi na kwa kuzingatia muda na kuongeza kuwa italitekeleza jukumu hilo kwa ufanisi mkubwa kwa kushirikiana na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Idara ya Habari –MAELEZO ambao ndio wasimamizi wa maudhui wa tovuti hiyo.

 Kuhusu taarifa na huduma zilizomo katika Tovuti Kuu ya serikali Dkt. Jabiri alisema zimegawanywa katika maeneo makuu sita ambayo ni Serikali, Wananchi, Taifa letu, biashara, Sekta na Mambo ya Nje.

Alisema maeneo yote yanalenga kurahisha utoaji wa huduma mbalimbali zikiwemo za upatikanaji wa nyaraka zote za Serikali, huduma zinazotolewa na Serikali kwa njia ya simu na mtandao, Viwango vya fedha, Hali ya Hewa, na Soko la Hisa.

Alisema huduma nyingine katika Tovuti Kuu hiyo imetengwa katika ukarasa wa Nifanyeje unaopatikana ndani ya tovuti hiyo ambao  unamjengea uwezo mwananchi kufahamu taratibu za upatikanaji wa huduma zinazotolewa na taasisi mbali mbali za Serikali kama upataji wa hati ya kusafiria, kibali kazi, TIN, cheti cha kuzaliwa na mikopo ya vyuo.

Aliongeza kuwa tovuti hiyo pia inalenga kuziunganisha Tovuti na mifumo ya Taasisi mbali mbali inayotoa taarifa na huduma kwa wananchi na wafanyabiashara katika dirisha moja.


Tovuti Kuu hiyo ilianza kutengenezwa mwaka 2009 na kupatikana kwa anuani ya www.egov.go.tz chini ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Tovuti hiyo iliboreshwa na kuunganishwa na iliyokuwa Tovuti ya Taifa kwa anuani ya www.tanzania.go.tz  mwaka 2012 chini ya Wakala ya Serikali Mtandao.

WALIMBWENDE WA MISS TANZANIA USA PAGEANT WAJINOA KWA MARA YA MWISHO

 Joy Kalemera kutoka New Jersey
 Faith Kashaa kutoka Alabama
 Julia Nyerere kutoka Maryland.
 Hellena Nyerere kutoka Maryland.
 Sham Manka kutoka Massachusetts.
 Doreen Rumaya kutoka Pennsylvania.
Walimbwende wa Miss Tanzania USA Pageant katika picha ya pamoja baada ya kumaliza kujinoa kwa ajili ya kumtafuta Miss Tanzania USA Pageant itayofanyika Hollywood Ballroom anuani ni 2126 Industrial Pkwy, Silver Spring, MD 20904 kati mstari wa mbele ni Miss Pageant wa kesho akifuarahia ukodak moment na washiriki. 

Walimbwende wa Miss Tanzania USA Pageant katika picha ya pamoja na waratibu wakiwemo mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Afrika USA Pageant Lady Kate (wa pili toka kulia mstari wa mbele), mkurugenzi na mwanzilishi wa Miss Tanzania USA Pageant Ma Winny Casey (wanne toka kushoto mstari wa mbele).

Mbunge viti maalum Chadema Mhe. Leticia Nyerere katika picha ya pamoja na Hidaya Mahita (kushoto) na Hellena Nyerere ambaye ni mwanae anayeshiriki kwenye kinyang'anyiro cha miss Tanzania USA Pageant.
 Mwanahabari wa VOA Sunday Shomari(kushoto) akimdodosa mawili matatu mlimbwende Sham Manka kutoka Massachusetts.

Friday, November 29, 2013

MKUU WA MKOA WA MOROGORO AFUNGUA MAFUNZO YA UTAALAMU WA KILIMO CHA MAZAO YA MATUNDA, MBOGA NA MAUA YALIYOWASHIRIKISHA BAADHI YA WAKUU WA WILAYA

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo, Imelda Ishuza ( kulia) akipokea cheti ya kuhitimu matunzo toka kwa RC Moro, Joel Bendera.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, ( kulia) akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo Mkuu wa Wilaya ya Makete, Josephine Matiro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kushoto) akimkabidhi cheti cha kuhitimu mafunzo, Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera (aliyesimama) akitoa hutuba ya kufunga mafunzo ya Utaalamu wa kilimo cha mazao ya matunda, mboga na mauwa , mjini Morogoro.
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,Joel Bendera ( wanne kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Washiriki wa mafunzo ya utaalamu wa kilimo cha mazao ya ' Horticulture' mjini Morogoro, wakiwemo pia Wakuu wa Wilaya.

Na John Nditi, Morogoro

TAASISI  Kilele ya Mazao ya Matunda, Mboga na Maua ‘ Horticulture’( TAHA),imewapatia  mafunzo Wakuu wa Wilaya na Wataalamu wa kilimo  wa  Mikoa ya Kanda ya Kati, Mashariki na Nyanda za Juu kusini juu ya  mbinu bora na sahihi za  kuboresha na kuendeleza kilimo cha mazao hayo ili kuongeza uzalishaji , kukuza soko la ndani na nje ili kuinua uchumi wa taifa.

Maneja wa Ufundi wa TAHA, Isack Ndamanyere, alisema hayo  Novemba  21, mwaka huu  mjini hapa , kabla ya kukaribishwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, kufunga mafuzo  ya nadharia na vitendo yaliyochukua muda wa  tatu ambayo  yalindaliwa na Taasisi hiyo na kuwashirikisha washiriki 25.

Wakuu wa wilaya waliopatiwa mafunzo hayo na wilaya zao  katika mabano ni Dk Norman Sigalla King ( Mbeya), Crispin Meela ( Rungwe), Josephine Matiro ( Maketa) na Gerald Guninita ( Kilolo) pia  na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo , Imelda Ishuza.

Mbali na kundi hilo wengine ni wataalamu na maofisa  katika sekta ya Kilimo kutoka  Halmashauri za wilaya za Mkoa wa Dodoma, Njombe, Iringa,Pwani na Morogoro.

Kwa mujibu wa Meneja Ufundi wa TAHA, alisema , lengo la mafunzo hayo ni juhudi za kuendeleza mazao hayo kwa kuwa yanaweza kupatia mkulima mapato ya haraka ya kukuza uchumi wake na wa taifa na ndani ya muda mfupi kutokana na kuwepo kwa soko la uhakika la mazao hayo ndani na nje.

 Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Morogoro , Bendera, wakati akifunga mafunzo hayo , ameziomba Halmashauri za wilaya kutenga bajeti kwa ajili ya  kuwagharamia mafunzo  ya vitendo maofisa ugani wa ngazi za vijiji, kata na Wilaya ili nao waisambaze kwa wakulima wa mazao hayo.

Pia aliipongeza Taasisi hiyo kwa uwajibikaji wao wa kuhakikisha tasnia inasonga mbele katika  kuboresha maisha ya wananchi pia kuongeza pato la taifa ambapo ameitaka kuzidi kushirikiana na Serikali ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo hayo kwa kila Halmashauri nchini.

Mkuu huyo wa Mkoa, aliwapongeza Wakuu wa Wilaya hizo kwa kutenga muda wao na kuhudhuria mafunzo hayo , na kusema huo ni moyo wa kizalendo na utatoa dira ya kusonga mbele katika kuinua hali ya maisha ya wananchi wetu kupitia kauli mbiu ya Kilimo Kwanza.

Naye Mwenyekiti wa Mafunzo hayo, Mkuu wa wilaya ya Mbeya , Dk Sigalla,aliisgukuru TAHA kwa kuwashirikisha katika mafunzo hayo na kwamba wao watakuwa watu wa mfano wa kuwa na mashamba ya aina hizo na watatumia fursa hiyo kuwasimamia viongozi wa chini yao.

Hata hivyo alisema  , msingi mkubwa wa kufikia mafaniko na malengo hayo ni  kuendeleza kilimo hicho, ni kwa wakulima kupatiwa elimu na faida ya kilimo cha aina hiyo.

 Kwa mujibu wa Mkuu huyo wa wilaya , wakulima wengi licha ya kuwa na maeneo mazuri yenye rutuba , bado wanashindwa kutofautisha aina ya kilimo , kile cha mazao yanayochuka muda mrefu kukomaa na cha  mazao ya yanakomaa kwa muda mfupi.

Thursday, November 28, 2013

CCM YAFANYA KUFURU TUNDUMA, MAELFU WAJITOKEZA, NAPE ABEBWA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akihutumia maelfu ya wananchi katika Uwanja wa Shule ya Msingi Mwaka, mjini Tunduma, wilayani Momba, jioni hii, Nov 28, 2013, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM, kusikiliza kero za wananchi na kuzungumza nao njia ya kuzitatua, katika mkoa wa Mbeya.
 Wananchi wakiwa wamembeba Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakati wa mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuria na maelfu ya wananchi katika uwanja wa shule ya msingi Mwaka mjini Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya, leo
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye 'akihutoa dozi' alipohutubia katika mkubwa wa hadhara uliohudhuria na maelfu ya wananchi katika uwanja wa shule ya msingi Mwaka mjini Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya, leo
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akitoa 'dozi' katika mkutano mkubwa wa hadhara uliohudhuria na maelfu ya wananchi katika uwanja wa shule ya msingi Mwaka mjini Tunduma wilayani Momba mkoani Mbeya, leo
 Dk. Asha-Rose Migiro akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano uliofanyika  Uanja wa shule ya  Mwaka, Tunduma,leo
Katibu wa NEC, Siasa na Uhisiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro (katikati mwenye  miwani) akiselebuka na wananchi kwenye mkutano, Uwanja wa shule ya  Mwaka, Tunduma leo.

MARUFUKU MATUMIZI YA ‘WOOD’ KWENYE SOKO LA FILAMU

·         ‘BONGOWOOD’, ‘SWAHILIWOOD’ MARUFUKU.
Na ANDREW CHALE, ARUSHA
 WAAFRIKA wametakiwa kukataa utumwa na kuiga  neno la ‘WOOD’,

kwenye soko la filamu hasa baada ya nchi nyingi kukopi  jina la ‘HOLLYWOOD’ ambalo ni eneo lililopata umaarufu mkubwa kwenye soko la filamu Duniani kwa kuwa na wasanii nyota na studio za kisasa, za masuala ya filamu.
Akielezea mapema leo kwenye semina ya waandishi wa habari za Sanaa kuhusu Filamu za Afrika, Mkurugenzi wa Tamasha la Filamu za Kiafrika la  Arusha (Arusha African Film Festival –AAFF 2013) na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Arcadia,  kilichopo Pennsylvania, Marekani , Mr. Akpor Otebele (pichani),  alisema Waafrika waache dhana ya kuendelea kutumia jina hilo ambalo nchi nyingi wamekuwa wakitumia viunganishi vya neo hilo la ‘Wood’  bila kujua maana hasa la kuendelea kulitumia.
Hii aina maana, ni la kuliacha na Nigeria kule waigizaji wengi wanatafakari maana ya hili neo lakini jibu hakuna, lakini bado wanaendelea kulitumia” alisema.
Akitolea mfano wa baadhi ya nchi zinazotumia jina hilo kutoka Hollywood, ni pamoja na : Bongowood/ Swahiliwood (Tan zania), Nollywood (Nigeria), Riverwood (Kenya), Ghollywood (Ghana), SierraWood (Sieralion)na Congowood (Kongo) na mengine mengi.
Akpor  Otebele aliongeza kuwa, kuendelea kutumia viunganishi hivyo ni kuwanufaisha watu wa Magharibi na kuupamba Mji wa Hollywood  unaoishi mastaa na studio maalufu huko Lose Angels nchini Marekani, ambapo kwa dhana hii inafanya Waafrika kuwa watu wasiojua wanachokifanya.
…”Swahiliwood, its means, Swahili ubao? Is  that sure? So why to use ‘Wood’??  in Swahili mean ‘UBAO’?? Alisema Akpor Otebele.
Na kuongeza kuwa  nchi nyingi za Afrika zinatumia neno
'Wood' kinyume na maana yake  huku wengine wakipokea misaada bila kujijua kuwa wanarubuniwa ujinga. "Kwa nini wanahitaji Bongowood. Mimi ninavyojua wood ni mbao, kwa nini wasiseme, swahili movie?" alihoji.
Otebele aliwataka wanahabari  kuwaelemisha wadau wa filamu kuwa, Hollywood si jina la kutungwa bali la mji uliotokea kuwa maarufu kutokana na kusheheni vitendea kazi bora na vya kisasa na kwenye makazi  ya wasanii nyota mbali mbali, ni wakati wa kulipinga.
Mbali na hilo, Otebele  aliwataka wasanii na waongoza filamu Afrika na kwingineko kuzingatia  filam,u za kiushindani ilikufia malengo yao.
Hii ni kwa  kuwataka kuzingatia filamu zenye ubora, maarifa na zitoazo mafunzo mbele ya jamii inayotuzunguka kila siku.
Katika semina hiyo inayofanyika  jini hapa,  katika hoteli ya  kisasa na kitalii ya Silver Palm Hotel,  ambapo mada mbali mbali  zitawasilishwa kuhusu tasnia ya  filamu barani Afrika huku  watoa mafunzo wengine wakiwemo Mtaalamu wa filamu wa chuo kikuu Mlimani, ambaye pia ni mtayarishaji wa filamu ya ‘CHUNGU’,  Shule  na  Mtendaji Mkuu wa ZIFF, Prof. Martin Mhando.
Semina hiyo ilianza mapema leo inatarajia kuendelea  hadi Desemba Mosi,  huku ikiandaliwa na Waandaji wa Tamasha la Kimataifa la Filamu za Nchi za Majahazi (Zanzibar International Films Festival –ZIFF)  kwa udhamini wa Mfuko wa kusaidia Vyombo vya habari nchini  (Tanzania Media Fund-TMF)  ambapo waandishi mbali mbali wanapatiwa mafunzo juu ya uandishi wa habari za Sanaa hapa nchini kwenye vyombo vyao vya habari na mitandao ya kijamii zikiwemo blogs.
Pia semina hii inaendana na tamasha kubwa la filamu  la AAFF 2013, lililoanza  Novemba 25 hadi Desemba Mosi, kwenye  kumbi mbali mbali za Alliance Francaise, Via Via , Mount Meru Hotel, Mango Tree & New Arusha Hotel, ambapo kiingilio ni BURE/FREE ENTRY.
 
Ratiba ya Warsha ni kama ifuatavyo: -
DATE
UNIT
ACTIVITY DETAILS
EVENING
27/11/13
 
Arrival
Watch films
28/11/13
Critical Analysis
Otebele
Film Review and Analysis
A philosophical and African cinema centred approach. Include comparison of classical genre approaches to African cinema study.
Watch identified film or theatre show.
Write articles for following day
29/11/13
Critical AnalysisShule
Theatre Review and Analysis- including African traditional theatre arts and contemporary theatre practice in Tanzania. The evening will be given to mentors to work with the trainees.Techniques of writing the film review; preparation and treatment of form and content; problems, responsibilities and ethics of film reviewing.
Visit the Arusha Museum or watch films
 
Evening Class
 
Send articles to Newspapers/TV/Radio
30/11/13
Arts Coverage and Issues in Contemporary Media Culture
Mhando
Discussions on Media as a tool for knowledge creation. A philosophical and socio-political perspective. Learn about the development of online arts journalism, and how to use Weblogs, podcasts, video, and social networking to review and report on the arts. We engage with how people use the arts to share content, opinions, insights, experiences, perspectives, etc.  This workshop looks at social media culture and how it is changing the way we do business. Assessment
Send articles to Newspaper/TV/Radio
1/12/ 13
 
Departures
Send articles to Newspapers/TV/Radio