Saturday, April 30, 2016

Vijana wahamasishwa kutumia Ujasiriamali Jamii ili kujiletea maendeleo

Mwenyekiti wa Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF) Bw. Erick Chrispin akizungumza wakati wa mkutano wa Jukwaa hilo unaofanyika kila mwisho wa mwezi jana jijini Dar es Salaam. Mada kuu katika mjadala huo ilikuwa ni “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake”
Afisa Mtendaji Mkuu wa Asasi ya Open Mind Tanzania (OMT) ambaye pia ni Mratibu wa Programu ya Kukuza Ajira zenye staha jijini Dar es Salaam(YEID) Bw. Dominic Ndunguru akiwasilisha maada kuhusu misingi ya ujasiriamali wakati wa mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake” jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF).
Meneja Matukio na Ushirikiano wa Asasi ya Buni Innovation Hub Bi. Maryam Mgonja akielezea kuhusu namna asasi yao inavyofanya kazi wakati wa mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake” jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF).
Afisa Mtendaji Mkuu wa Sema Tanzania Bw. Kiiya Joel Kiiya akifafanua jambo wakati wa mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake” jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF).
Mmoja wa washiriki wa Mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake” ambayepia ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Bi. Liliani Kimaro akiwasilisha hoja walizozipata wakati wa majadiliana kwenye kundi lao jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF).
Mmoja wa washiriki wa Mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake akichangia mada wakati wa majadiliano jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF).
Baadhi ya washiriki wa Mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake” wakifuatilia mada wakati wa majadiliano jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF).
Mmoja wa washiriki wa Mjadala kuhusu “Jinsi gani Asasi zinawezakutumia Ujasiriamali wa Kijamii katika kuibua na kuhakikisha inafikia malengo yake”. Akifafanua namna ujasiriamali unavyo tegemea zaidi kuanza na wazo badala ya mtaji jana jijini Dar es Salaam. Mjadala huo uliratibiwa na Jukwaa la Ujasiriamali Jamii Tanzania (TASEF). Picha na: Frank Shija, WHUSM.

GALA DINNER, FASHION SHOW, BURUDANI NA KUTOA VYETI KWA WADAU MBALIMBALI DICOTA 2016 DALLAS, TEXAS


 Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Wilson Masilingi na mkewe Marystela Masilingi na wageni wao wakihudhuria gala Dinner ya DICOTA  2016 iliyofanyika siku ya Ijumaa April 29, 2016 katika hotel ya Hyatt Regency Dallas, Texas nchini Marekani. Katika gala Dinner kulikuwepo Balozi alishiriki utoaji vyeti kwa wadau mbalimbali na yeye mwenyewe kupewa zawadi kutoka menej wa Turkish Air ambao walikua nikati ya wadhamini wa kongamano la DICOTA 2016. Picha na Vijimambo/Kwanza Production.
Wageni waalikwa wakiwa kwenye gala dinner ya kongamano la DICOTA 2016.
Wadau waliohudhuria kongamano la DICOTA 2016 wakiwa kwenye Gala Dinner siku ya Ijumaa April 29, 2016 katika hotel ya Hyatt Regency Dallas, Texas nchini Marekani.
Gala Dinner ikiendelea.
 
 BALOZI WILSON MASILINGI AKIKABIDHI VYETI KWA WADAU MBALIMBALI
RAIS WA DICOTA NDAGA MWAKABUTA AKIPEWA ZAWADI MAALUM NA DICOTA KWA MCHANGO NA KAZI NZURI ANAYOIFANYA.
 SHIRIKA LA NDEGE LA TURKISH LIKITOA TIKETI YA NDEGE KWA MSHINDI AMBAYE ALIKUA NI STEVE KUTOKA MASSACHUSETTS NA WALITOA ZAWADI MBALIMBALI KWA WADAU WA DICOTA AKIWEPO ZAWADI KWA MHE. BALOZI WILSON MASILINGI.
 BURUDANI
 


 FASHION SHOW