Sunday, July 31, 2011

Uchaguzi Mkuu wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoani Iringa




Uchaguzi ni uchaguzi nimeshindwa kwa kura moja ila naunga mkono matokeo ni Sima Bingileki na Daud Mwangosi ambaye ni mwenyekiti mpya wa IPC
Sulemani Boki amefanikiwa kutetea nafasi yake ya uweka hazina ndani ya IPC kwa kupata kura 16 kati ya 7 alizopata mpinzani wake Mawazo Marembeka(RFA) Iringa
Mwanachama wa TGNP mkoa wa Iringa na mwandishi wa gazeti la Mwananchi mkoa wa Iringa Tumain Msowoya akiomba kura kwa wanachama katika nafasi ya umakamu mwenyekiti japo hakuweza kupita baada ya kupata kura 6 kati ya 23 zilizopigwa
Mwandishi wa Radio Free mkoa wa Iringa Bw.Mawazo Marembeka akiomba kura kwa wanachama wa IPC katika nafasi ya uweka hazina japo hakuweza kupita baada ya kupata kura 7 kati ya 23 zilizopigwa
Mwandishi wa Chanel Ten Iringa Bw.Daud Mwangosi ameshinda nafasi ya uenyekiti IPC kwa kupata kura 12 kwa 11 alizopata mpinzani wake Sima
Afisa habari wa IMTV Iringa Bi.Sima Bingileki aliyekuwa mpinzani mkali wa Mwangosi katika kiti alishindwa kwa kura moja
Mwandishi wa The.Citizen na Radio Country fm Iringa Bw.Clement Sanga aliyekuwa mgombea wa nafasi ya ukatibu na kupata kura 6 kati ya 23 zilizopigwa hivyo kushindwa nafasi hiyo
Mwandishi wa magazeti ya serikali mkoa wa Iringa Bw.Frank Leonard amefanikiwa kutetea nafasi yake ya ukatibu kwa kpindi cha tatu mfululizo kwa kupata kura 17
Zulfa Shomari akijibu maswali ya wanachama ndani ya ukumbi wa Maktaba wakati wa uchaguzi mkuu wa IPC ,alikuwa akigombea nafasi ya umakamu mwenyekiti na kushinda nafasi hiyo kwa kishindo kwa kura 17 kati ya 6 alizopata mpinzani wake

Wanachama wa IPC wakipitia taarifa mbali mbali za chama kabla ya uchaguzi kutoka kushoto mbeli ni Frederick Siwale,Getrudde Madembwe na Anita Boma
Rais wa muungano wa vilabu vya waandishi wa habari Tanzania (UTPC) Kenneth Simbaya akifungua mkutano mkuu wa uchaguzi ndani ya klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) Simbaya ndiye alikuwa mwenyekiti wa IPC kabla ya kuamua kustaafu nafasi hiyo ,kushoto ni katibu mtendaji wa IPC Frank Leonard na kulia ni weka hazina wa IPC Sulemani Boki
Baadhi ya wanachama wa IPC wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi waliochaguliwa kuongoza IPC . Mwenye pama katikati ni  Bw Francis Godwin mmiliki wa mtandao mkubwa wa habari wa ambaye alipita bila kupingwa katika nafasi ya ukatibu msaidizi wa IPC

Katika uchaguzi huu viongozi walioanguka katika uchaguzi huo ambao walikuwemo katika safu ya uongozi katika uongozi uliopita ni pamoja na Sima Bingileki ambaye alikuwa makamu mwenyekiti,huku Eliasa Ally ambaye alikuwa mjumbe kipindi kilichopita akijitoa kugombea tena nafasi hiyo na Kenneth Simbaya akiamua kustaafu nafasi ya kiti pamoja na Hakimu Mwafongo ambaye hakugombea tena nafasi ya ukatibu msaidizi .

Katiba nafasi ya uweka hazina msaidizi Vicky Macha wa Nipashe Iringa alipita bila kupingwa huku nafasi ya katibu msaidizi pia Francis Godwin mwandishi wa gazeti la Tanzania daima Irina ,kurugenzi wa kampuni ya Free Community Media's na mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari za jinsia Tanzania (TGNP) mikoa ya kusini akipita bila kupingwa pamoja na wajumbe 13 7 wa kamati ya utendaji ndani ya IPC pia wakipita bila kupingwa kufuatia Eliasa Ally kujitoa katika kinyang'anyiro hicho.

Wajumbe 13 wanaounda kamati ya utendaji ndani ya IPC ni pamoja na Daud Mwangosi, Frank Leonard ,Zulfa Shomary, Francis Godwin, Suleman Boki,Vicky Macha, Getrude Madembwe, Shabani Lupimo, Frederick Siwale,Conard Mpila,Fulgence Malangalila,Janeth Matondo na Jackson Manga .

mambo yalivyokuwa siku ya Tamasha la 17 la Mzanzibari

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud Mohammed akizinduwa Tamasha hilo la 17 la Mzanzibari kwa kupiga  bastola kuashiria kuanzisha resi za ngalawa.
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud  akitowa hutuba ya Ufufunguzi wa Tamasha la 17 la Mzanzibar lililofanyika katika Ufukwe wa Pwani ya Nungwi.
Ngoma ya Mwanandege ikiwa ni moja ya kivutio cha Tamasha hilo
WASANII wa Oman wakifuatilia maonesho ya tamasha la Mzanzibar, nao walialikwa kuonesha ngoma za Utamaduni wa kwao. 
KIKUNDI cha Taarab cha Sanaa wakiimba wimbo maalum wa Zinduzi wa Tamasha


Ngalawa tayari kuanza resi

NGALAWA zikianza mashindano hayo katika ufukwe wa pwani ya Nungwi ikiwa ni moja ya Maonesho ya Uzinduzi wa Tamasha la Mzanzibar.
watu walijaa tele Nungwi siku hii
WANANCHI wa Kijiji cha Nungwi  wakiangalia resi za ngalawa zikiza mashindano hayo. 

MAMBO ngoma ya Bomu hayoooo..
WASANII kutoka nchi Oman wakifuatilia ngoma za Utamaduni wa Zanzibar katika maonesho ya Tamasha la Mzanzibar,   
WATOTO kutoka Skuli ya Kidutani wakicheza ngoma ya Bomu
WASANII kutoka Pemba wakicheza ngoma ya Njuguu  katika tamasha la Mzanzibar.
WASANII kutoka Nchi Oman wakionesha Ngoma za Utamaduni wa kwao katika maonesho ya Uzinduzi wa Tamasha la Mzanzibar katika ufukwe wa pwani ya Nungwi.

MSANII kutoka Nchini Oman akionesha umahiri wake wa kupuliza  zumari wakati wa Uzinduzi wa Tamasha la 17 la Mzanzibar lilifanyika katika ufukwe wa pwani ya Nungwi.
NGALAWA ya kwanza inayoongozwa na Nahodha wake Ramadhani Khamis ikiwasili katika ufukwe wa Nungwi, baada ya kushinda resi hizo, iliozijumuisha ngalawa 14 katika mashindano hayo 
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohammed Aboud Mohammed akimkabidhi zawadi mshindi wa resi za Ngalawa Ramadhani Khamis.
WANAFUNZI wa Skuli ya Chekechea ya Kidutani  wakionesha maonesho ya mavazi mbalimbali katika maonesho ya uzinduzi wa Tamasha lililofanyika Viwanja vya Nungwi.





VIONGO wa meza Kuu wakishangilia Watoto wa skuli ya chekechea walipokuwa wakionesha mitindo ya mavazi wakipita na vazi la asili ya Zanzibar baibui la ukaya na kazu.


MWANAFUNZI waskuli ya Kidutani akionesha vazi la kanga  na akiwa akisuka ukili.
WATOTO wa skuli ya Kidutani wakicheza beni (mbwa kachoka) katika sherehe za uzinduzi wa Tamasha la Mzanzibar la 17 lililofanyika katika ufukwe wa pwani ya Nungwi.

KIKUNDI cha Sanaa wakicheza ngoma ya Msewe yenye asili yake kisiwani Pemba katika Tamasha la Mzanzibar.
                                                

Saturday, July 30, 2011

SID Tanzania chapter at the World Congress 2011 in Washington DC

Ms Rebeca Gryspan, Associate Administrator, UNDP, UN Under Secretary,  speaks at the Opening Plenary session
 SID Vice President Amb. Juma Mwapachu moderates the Opening Plenary Session of the SID World Congress 2011
 Dr Donald Kaberuka, President of the African Development Bank speaks
Former President of Ghana HE John Kufour makes a contribution from the floor
Vice President  of the Society for International Development Ambassador Juma Mwapachu (third left) poses with members of SID Tanzania Chapter who are attending the three-day World Congress at the Omni Shoreham hotel in Washington DC. They are from left Yasmin Said Chali (Treasurer), Mahmoud Thabit Kombo (President), June Warioba (Secretary General ), Masoud Kipanya (Member  Executive Committee) and Muhidin Issa Michuzi (Programs officer)
SID Tanzania Chapter  President Mahmoud Thabit Kombo and Treasurer Yasmin Said Ali  visit an exhibition in the sidelines of the Congress

A section of the exhibition floor
Amb. Juma Mwapachu chats with Mahmoud Thabit Kombo and YasminSaid Chali
 A US delegate chats with the Tanzania delegation
 Chatting with a US delagate who has visited Tanzania several times
Networking with delegates from different countries
Amb. Juma Mwapachu in discussion with Mahmoud Thabit Kombo and Masoud Kipanya
Time to grab a quick lunch
 SID Vice President Amb. Juma Mwapachu moderates the opening plenary session
 Daniel F. Runde, Chair SID World Congress welcomes delegates to the Congress
Ms Gayle Smith, Special Assistant to President Barak Obama, Senior Director for Development and democracy, International Economics speaks
 Emmy Simmons, Board Member SID-Washington, speaks
  
VISION
The Society for Society for International Development (SID), a global  association of development professionals committed to inclusive, fair, and sustainable economic and social development, is holding its triennial World Congress in 2011 in Washington, D.C.

The Congress will be hosted by SID’s Washington D.C. Chapter, whose mission is to advance equitable development by bringing diverse constituencies together to debate critical ideas, policies, and practices that will shape our global future.

Scheduled for July 29-31, 2011, this unique event will focus on the theme, “Our Common Challenge: A World Moving toward a Sustainable Future” and is expected to attract over 1,000 development practitioners from around the world. Two full days of sessions, including keynote speeches, panel debates, and small-group discussions, will focus on critical topics.

It has been just 50 years since Barbara Ward wrote her seminal book on development The Rich Nations, The Poor Nations, and the Society for International Development was launched. SID World Congress 2011 participants will take this opportunity to look back on the history of global development and, using the lessons of experience, to consider what past efforts imply for the development agenda today.

Participants will then be challenged to look forward: to discuss issues essential to defining a sustainable future and to explore—and perhaps agree on—alternative pathways for addressing these issues. By building on the rich, collective experience of SID members worldwide, the Congress can contribute to increasing the effectiveness of development efforts in coming decades.

Issues will include, among others: economic progress, empowerment, and inclusiveness; science and technology for sustainable development; human security and sustainable human development; gender equality; metrics and accountability; governance, citizenship, participation and new social contracts; and the shifting roles of the state, markets, and civil society.
Over three days, attendees will hear from senior leaders from the Obama Administration, political leaders from developing countries, senior leaders from multilateral and bilateral donor agencies and organizations, business leaders and small business owners, non-governmental organizations, civil society representatives and participants in other major development-oriented networks such as The World Economic Forum and The World Social Forum.

There will be opportunities for small group discussions through workshops, networking, and chapter-led discussions. Table-top discussions are being planned during the lunch periods.
Every effort is being made to assure that the program process includes significant Congress outcomes.  Discussions will center on a defined, desired outcome relevant to policy-makers and practitioners. Discussion and debate participants will be engaged both before and after the presentations to assure this outcome is met.

The Congress presentations and conclusions will feed into several follow-up editions of the SID journal Development.


Policy findings and conclusions will be circulated to heads of donor agencies and development banks, as well as private sector leaders.
 

venues of past sid conferences