Tuesday, February 6, 2018

MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI MJINI DODOMA

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiteta na Waziri wa Nchini, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Viana, Akira na Wende Ulemavu, Jenista Mhagama (kushoto)  na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano, January Makamba (katikati), Bungeni mjini Dodoma Februari 6, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza  na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Capt. George Mkuchika,  Bungeni mjini Dodoma, Februari 6, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Agness Marwa, Bungeni mjini Dodoma , Februari 6, 2017. 
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Februari 6, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Nzega Mjini, Hussein Bashe kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Februari 6, 2018.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akisalimiana na Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Februari 6, 2018. 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dkt. Adelardus Kilangi, Ofisini kwa Waziri Mkuu, Bungeni mjini Dodoma Februari 6, 2018. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments: