Sunday, October 29, 2017

NELLY KAZIKAZI ATWAA TAJI LA MISS HIGHER LEARNING 2017

 Miss Higher  Learning 2017, Nelly Kazikazi, akipunga mkono kwa furaha akiwa na washindi wenzake baada ya kutangazwa rasmi na kuvishwa Taji katika shindano la Miss Vyuo Vikuu lililofanyika usiku wa kuamkia jana kwenye Ukumbi wa King Solomon Namanga Dar es Salaam. Kulia ni mshindi wa pili, Queen Elizabeth Makune (kushoto) ni mshindi wa tatu,  Melody Thomas. Picha Zote na Muhidin Sufiani (MAFOTO)
 Shindano hilo pia lilipambwa na burudani kutoka kwa wasanii tofauti kama JK Comedian Jukwaani, Msaga sumu na Barnaba Boy.
 Sehemu ya wageni waliofika kushuhudia shindano hilo wakiwa katika meza za VIP
 Shoo ilianza kama hivi kwa kufungua na shoo ya pamoja
 Hatimaye warembo walianza kupita jukwaani na vazi la ubunifu....
 
 
 
 
 Msaga Sumu akitoa burdani
 Hatimaye Warembo walianza kupita jukwaani wakia na vazi la Ufukweni

 Majaji wakijadiliana jambo
 Dj John Dilinga naye akionyesha shoo, kuigiza umiss

 Miss Talent akinyesha jinsi alivyochukua taji hilo.
 Hatimaye ukafika muda wa Warembo kupita jukwaani na vazi la usiku.
 Ulifika muda wa Barnaba Boy kuwarusha wadau wa urembo ukumbini hapo
 Dj Denso kutoka Mafoto City Sound akiwarusha kwa ngoma za Barnaba alipopanda jukwaani
 Huku ni nyumba ya Stage warembo wakishoo love
 Barnaba Boy akiwachezesha warembo kwa ngoma zake
 Warembo wakiwa nyuma ya stage nao wakifuatilia shoo ya Barnaba Boy
 Hawa ndiyo warembo wote walioshiriki shindano hilo
 Mkurugenzi na mratibu wa shindano hilo, Joseph Musendo akizungumza jukwaani, akiwa na msaidizi wake
 Ilipoanza kutangazwa tatu bora
 Miss Highlearning 2016, Laura Kway, akimvisha Taji Miss Highlearning 2017, Nelly Kazikazi, baada ya kutangazwa mshindi.
Miss Higher Learning 2017, Nelly Kazikazi, akipunga mkono kwa furaha baada ya kutangazwa mshindi.

No comments: