Friday, July 7, 2017

RC MAKONDA AHAHIDI KUPELEKA WANAFUNZI 50 NGORONGORO WATAKAOFANYA VIZURI KATIKA MTIHANI WA MOCK

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akipokelewa na Msani Mrisho Mpoto katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba ambapo kupita banda hilo mkuu wa mkoa amehahidi kuwapeleka wanafunzi 50 wa mkoa wa Dar es Salaam bonde la hifadhi ya Ngorongoro
  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akiasalimaina na Watendaji wa Ngorongoro  katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akisaini katikabu cha wageni katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba
  Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda  akiteta na  Msani Mrisho Mpoto banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba
 Msani Mrisho Mpoto, akizungumza na wadau waliofika katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda, akikabidhi zawadi kwa watoto waliojibu maswali vizuri juu ya hifadhi ya Ngorongoro
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makondaakikabidhi zawadi kwa watoto waliojibu maswali vizuri juu ya hifadhi ya Ngorongoro
 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ,Paul Makonda akizungumza na wakazi wa jiji la Dar es Salaaam waliofika katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba

 
 Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam akiteta jambo na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ,Paula Makonda katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba
 Kikundi cha Sarakasi kikitoa burudani kwa wadau waliofika  katika banda la Elimu kwa Umma la Mamlaka ya Hifadhi ya Bonde la Ngorongoro katika Maonesho ya Sabasaba
 Wasanii wa kundi la Mjomba Band wakiwa wanacheza kwa mtindo wa Salute Mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda


No comments: