Friday, July 7, 2017

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE (JKCI) YATOA HUDUMA BURE YA UPIMAJI WA MAGONJWA YA MOYO, KUTOA USHAURI NA KUELEZA WANANCHI HUDUMA ZA MATIBABU YA MOYO WANAZOZITOA KATIKA MAONYESHO YA SABASABA

 Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  Dkt. Aika Nnkya akimpa ushauri kuhusu afya  ya moyo Kizito Joseph (kushoto) ambaye alitembelea banda la Taasisi hiyo lililopo ndani ya Hema la Ali Hassan Mwinyi katika viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa ajili ya kupima magonjwa ya Moyo bure, kupata ushauri na kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo wanazozitoa.
 Mama Anastazia Mombeki (kulia) akipimwa urefu na Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rogers Kibula wakati alipotembelea Banda la Taasisi hiyo lililopo ndani ya Hema  la Ali Hassan Mwinyi katika viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa ajili ya kupima magonjwa ya Moyo, kupata ushauri na kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo wanazozitoa.
 Afisa Muuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Upendo Mwaipopo akimpima mapigo ya moyo (BP) Lei Jian ambaye alifika katika banda la Taasisi hiyo lililopo ndani ya Hema la Ali Hassan Mwinyi katika viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa ajili ya kupima magonjwa ya Moyo bure, kupata ushauri  na kuona huduma mbalimbali wanazozitoa.
 Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  Dkt. Aika Nnkya akimpima mapigo ya moyo (BP) Elioth Mgulwa mkazi wa Makambako mkoani Njombe  ambaye alitembelea banda la Taasisi hiyo lililopo ndani ya Hema la Ali Hassan Mwinyi katika viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa ajili ya kupima magonjwa ya Moyo bure, kupata ushauri  na kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo wanazozitoa.
 Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo wa  Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  Dkt. Pedro Pallangyo akimpima mapigo ya moyo (BP) Mmiliki wa Blog ya Full Shangwe Bw. John Bukuku alitembelea banda la Taasisi hiyo lililopo ndani ya Hema la Ali Hassan Mwinyi katika viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa ajili ya kupima magonjwa ya Moyo bure, kupata ushauri na kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo wanazozitoa.
 Banda  la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  lililopo ndani ya Hema la Ali Hassan Mwinyi katika viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndani ya  banda hilo  huduma zinazotolewa ni  kupima magonjwa ya Moyo bure, kutoa ushauri  na kueleza wananchi huduma mbalimbali za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo.
Banda  la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI)  lililopo ndani ya Hema la Ali Hassan Mwinyi katika viwanja vya Maonyesho ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndani ya  banda hilo  huduma zinazotolewa ni  kupima magonjwa ya Moyo bure, kutoa ushauri  na kueleza wananchi huduma mbalimbali za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo. Picha na JKCI


No comments: