Tuesday, July 4, 2017

ACCESS BANK YAWA KIVUTIO CHA WAJASILIMALI NA WAFANYABIASHARA KATIKA MAONYESHO YA SABASABA

--
 Meneja Masoko wa Benki ya Access Bank ,Sijaona Simon akizungumza na Mmoja wa Wateja waliotembelea Banda la benki hiyo hili kuweza kujipatia huduma mbalimbali zinazotolewa ikiwemo mikopo na akaunti ya malengo Maalum

 Afisa Mikopo wa Access Bank , Marggoreth Riziki  akizungumza na mmoja  wateja juu ya huduma zinazotolewa na benki hiyo ikiwemo mikopo kwa wajasiliamali wadogo
 Afisa Mikopo wa Access Bank , Godbless Exaud  akizungumza na mmoja  wateja juu ya huduma zinazotolewa na benki hiyo ikiwemo mikopo kwa wajasiliamali wadogo
 Afisa Mikopo wa Access Bank ,  Isaak Malaba akikabidhi zawadi ya mfuko wa Acces Bank kwa mmoja wa wateja waliotembelea banda lao
 Afisa Mikopo wa Access Bank , Marggoreth Riziki na Godbless Exaud wakiwahudumia wateja ndani ya Sabsaba
 Afisa Mikopo wa Access Bank , Magdalena Kijuu akikabidhi Zawadi ya T-Shirt kwa mteja aliyefungua Akaunti katika banda lao la Maonyesho  ya Sabasaba
Afisa Mikopo wa Access Bank , Alex akitoa huduma mteja
 Sehemu ya Wateja waliofika katika Banda hilo
wafanyakazi wa Accs Bank wakiwa katika picha ya pamoja ndani ya banda la Maonyesho Sabasaba

No comments: