Thursday, June 15, 2017

WADAU WA JOTOARDHI WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM LEO

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo akifungua warsha ya siku moja ya wadau wa Jotoardhi uliofanyika katika Kituo cha mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam leo Juni 15 2017. (Imeandaliwa na Robert Okanda Blogspot) 
Ofisa misitu Mkuu Kitengo cha Nishati Mbadala, Paul Kiwele akiongea wakati wa Warsha ya wadau wa Jotoardhi iliyofanyika Dar es Salaam leo. 
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania, Mhandisi Kato Kabaka akiwasilisha mada wakati wa Warsha ya wadau wa Jotoardhi iliyofanyika Dar es Salaam leo. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo (katikati) akibadilishana mawazo na Meneja Maendeleo wa Biashara pia Mwanajeolojia Mwandamizi wa Kampuni ya GeothermEx, Ann Robertson-Tait baada ya kufungua warsha ya siku moja ya wadau wa Jotoardhi uliofanyika katika Kituo cha mikutano cha Julius Nyerere jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania, Mhandisi Kato Kabaka. 
Meneja Maendeleo wa Biashara pia Mwanajeolojia Mwandamizi wa Kampuni ya GeothermEx, Ann Robertson-Tait akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Carbon Counts, Mshauri wa Nishati na Mabadiliko ya Tabia Nchi Paul Zakkour (kushoto) na Mshirika wa Kampuni ya Norton Rose Fulbright, Richard Metcalf walipohudhuria warsha hiyo. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa warsha hiyo. 
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo akiagana na Mshirika wa Kampuni ya Norton Rose Fulbright, Richard Metcalf. Kutokea (kushoto) ni Kaimu Kamishna wa Maendeleo ya Nishati, Mhandisi Juma Mkobya. 
Mkurugenzi wa Kampuni ya Olsuswa Energy, Michael Kimei (kushoto) na Mkurugenzi Biashara wa Kampuni hiyo, Raul Bayona (kulia) wakibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Carbon Counts, Mshauri wa Nishati na Mabadiliko ya Tabia Nchi Paul Zakkour walipohudhuria warsha hiyo. 
Mshirika wa Kampuni ya Norton Rose Fulbright, Richard Metcalf akiongea wakati wa ufunguzi wa warsha ya wadau wa Jotoardhi huku mgeni rasmi, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Dkt. Juliana Pallangyo akimsikiliza kwa makini jijini Dar es Salaam leo. Katikati ni Meneja Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania, Mhandisi Kato Kabaka 
Washiriki wa warsha hiyo wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali. 
Washiriki wa warsha hiyo wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali. 

No comments: