Tuesday, February 7, 2017

DKT SHEIN AZINDUA JENGO LA MAHAKAMA YA WATOTO





Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa Mahkama ya Watoto iliyopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B Unguja leo (kulia)Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu (kulia) wakati alipotembelea jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja leo baada ya kulizindua rasmi,.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu (katikati) wakitoka nje ya Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja baada ya kulizindua rasmi leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu wakiteta jambo wakati wa uzinduzi wa Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja uliofanyika rasmi leo.

Wanafunzi wa Skuli ya Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja ni miongoni mwa wananchi waliohudhuria katika sherehe za uzinduzi wa Mahkama ya Watoto,ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) akiwa mgeni rasm.

Watoto wa Kijiji cha Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja wakiwa katika sherehe za uzinduzi wa Mahkama ya Watoto ambapo imezuliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.

Baadhi ya Viongozi na Wananchi waliohudhuria katika sherehe ya uzinduzi wa Mahkama ya Watoto,Kijiji cha Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja,iliyozinduliwa leo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani).

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia)akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu alipowasili katika sherehe ya uzinduzi wa Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja leo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia)akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe,Haroun Ali Suleiman (katikati)alipowasili katika sherehe ya uzinduzi wa Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja leo,(kushoto) Waziri wa Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Vijana,Wanawake na Watoto Mhe,Moudline Cyrys Castico.


Mwakilishi wa UNICEF katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bibi,Maniza Zaman akitoa salama zake kwa Wananchi na Viongozi wakati wa Uzinduzi wa Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja leo.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumushi wa Umma na Utawala Bora Mhe,Haroun Ali Suleiman alipokuwa akizungumza machache na kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kutoa hutuba yake kwa Wananchi wakati wa Uzinduzi wa Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja uliofanyika leo

Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe,Balozi Seif Ali Iddi (kulia) na Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame wakiwa katika sherehe za Uzinduzi wa Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja leo.

Wasanii wa wakiigiza mchezo wa udhalilishaji Mtoto wa Skuli wakati wa sherehe za Uzinduzi wa Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja leo,lililozinduliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake kwa Wananchi wakati wa Uzinduzi wa Jengo la Mahkama ya Watoto liliopo Mahonda Wilaya ya Kaskazini B,Unguja uliofanyika leo,(kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba,Sheria,Utumushi wa Umma na Utawala Bora Mhe,Haroun Ali Suleiman na (kushoto) Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe,Omar Othman Makungu,[Picha na Ikulu.] 07/02/2017.

No comments: