Monday, January 30, 2017

NSSF YAFIKA NUSU FAINALI YA MASHINDANO YA SOKA YA MASHIRIKA YA UMMA

Golikipa wa timu ya NSSF, Mfaume Mzee  akisalimiana na wachezaji wa timu ya Tanesco wakati wa mchezo wa Nusu Fainali ya michuano ya Ligi ya Mashirika ya Umma uliofanyika kwenye uwanja wa TPDC Mikocheni jijini Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki. Tanesco ilishinda 4-1. (Picha na Francis Dande).
Wachezaji wa NSSF wakiwa katika mazoezi kabla ya mchezo wao na Tanesco.
Wachezaji wa NSSF wakijadiliana jambo muda mfupi kabla ya mchezo.
Viongozi wa NSSF pamoja na wachezaji wakiwa katika picha ya pamoja.
Timu za NSSF na Tanesco zikikaguliwa.
Golikipa wa timu ya NSSF, Mfaume Mzee akijaribu kuokoa  moja ya hatari langoni mwake.
Nahodha wa NSSF, Baome Kiwamba akimiliki mpira.
Mshambuliaji wa timu ya NSSF, Shaban Enzi akichuana na beki wa Tanesco, Nicholous Peter katika mchezo wa nusu fainali ya mashindano ya timu zaMashirika ya Umma.
Kiungo wa NSSF, Salum Swedi akichuana na Fortunatus Mgumba.
Mshambuliaji wa NSSF, Baome Kiwamba akichuana na beki wa Tanesco, Stanley Uhagile.
Kocha Msaidizi wa timu ya NSSF, Ali Chuo akitoa maelekezo kwa wachezaji wake wakati wa mapumziko. 
Mashabiki wa timu ya NSSF wakifuatilia mchezo huo.
Mashabiki wa timu ya NSSF.

No comments: