Friday, July 1, 2016

SENDOFF YA BINTI WA MCHUNGAJI DANIEL KULOLA YAFANA. KIFUATACHO NI NDOA TAKATIFU

June 30, 2016 Usiku wa kuamkia leo Julai Mosi, 2016, ilikuwa siku ye furaha kwa Bi.Happness Daniel Kulola (kushoto), ambapo ilikuwa ni siku ya sherehe yake ya "Send Off" iliyotoa fursa kwa Wazazi,Walezi, ndugu jamaa na marafiki zake kujumuika pamoja Jijini Mwanza na kumuaga rasmi kabla ya kufunga pingu za maisha.

Happyness anatarajia kufunga pingu za maisha na mchumba wake, Richard Jeremia,  kesho kutwa jumapili Julai 03,2016 katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, chini ya Mchungaji Dkt.Daniel Moses Kulola.
Wasimamizi/wapambe wa maharusi
Bibi harusi mtarajiwa akiingia Ukumbini
Bibi harusi mtarajiwa akikata keki
Bibi harusi mtarajiwa akimlisha keki msimamizi wake, ishara ya upendo
Bibi harusi mtarajiwa akilishwa keki na msimamizi wake
Bibi harusi mtarajiwa akiwakabidhi keki wazazi wake upande wa mwanaume
Bibi harusi mtarajiwa akiwakabidhi keki wazazi wake wa kumzaa
Wasaa wa kufungua Shampeini
Furaha ikiendelea Ukumbini
Mwenyekiti wa Kamati ya SendOff akijimwayamwaya Ukumbini kabla ya kutoa salamu za kamati
Matukio yakiendelea kunaswa Ukumbini
BMG
Bibi harusi mtarajiwa, Happness Daniel Kulola (wa pili kushoto), akiwa na bwana harusi mtarajiwa, Richard Jeremia (wa pili kulia). Wengine ni wasimamizi/wapambe wa maharusi.
Bibi harusi mtarajiwa, Happness Daniel Kulola (kushoto) akiwa na bwana harusi mtarajiwa, Richard Jeremia (kulia)
Mapema Mchungaji wa Kanisa la EAGT Lumala Mpya, Dkt.Daniel Moses Kulola, akifungua sherehe kwa maombi.
Ujumbe
Nyumba na Mali ni Urithi apatao mtu kwa babae, bali mke mwenye busara mtu hupewa na Bwana. Mithali 19:14

No comments: