Friday, July 1, 2016

Bodi ya Ushauri ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania yafanya ziara ya kuangalia utekelezaji wa majukumu ya kazi za Mamlaka.

Bodi ya Ushauri ya Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania yafanya ziara ya kuangalia utekelezaji wa majukumu ya kazi za Mamlaka.
  Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi pamoja na wajumbe wakiangalia utendaji kazi wa rada ya hali ya hewa iliyopo Bangulo, Pugu. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.
 Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi pamoja na wajumbe wakiangalia utendaji kazi wa rada ya hali ya hewa iliyopo Bangulo, Pugu. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.
 Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi pamoja na wajumbe wakiangalia utendaji kazi wa rada ya hali ya hewa iliyopo Bangulo, Pugu. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.
 Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi pamoja na wajumbe wakiangalia utendaji kazi wa rada ya hali ya hewa iliyopo Bangulo, Pugu. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.
 Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi pamoja na wajumbe wakiangalia utendaji kazi wa baadhi ya vifaa vya hali ya hewa katika kituo cha hali ya hewa JNIA. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.
  Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi pamoja na wajumbe wakiangalia utendaji kazi wa baadhi ya vifaa vya hali ya hewa katika kituo cha hali ya hewa JNIA. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.
 Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi akielezea jambo katika kituo cha hali ya hewa JNIA. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.
  Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi pamoja na wajumbe wakiangalia utendaji kazi wa studio ya kurekodi utabiri wa hali ya hewa wa kila siku unaosambazwa kwenye vyombo vya mbalimbali vya habari. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.
Mwenyekiti wa Bodi hiyo Dkt. Burhani Nyenzi pamoja na wajumbe wakiangalia utendaji kazi wa studio ya kurekodi utabiri wa hali ya hewa wa kila siku unaosambazwa kwenye vyombo vya mbalimbali vya habari. Mwenyeji wa ziara hiyo alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa TMA na katibu wa Bodi hiyo Dkt. Agnes Kijazi.

No comments: