Wednesday, March 23, 2016

MAKABIDHIANO YA UONGOZI WA MKOA WA DODOMA

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (wa pili kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa Dini Mkoa wa Dodoma wakati wa hafla ya kukabidhiana uongozi wa Mkoa huo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Chiku Gallawa (wa tatu kushoto) Machi 22,2016
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (wa kwanza kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa Mkoa wa Dodoma wakati wa hafla ya kukabidhiana uongozi wa Mkoa huo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Chiku Gallawa (wa tatu kushoto) Machi 22,2016.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (wa kwanza kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa Mkoa wa Dodoma wakati wa hafla ya kukabidhiana uongozi wa Mkoa huo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Chiku Gallawa (wa tatu kushoto) Machi 22,2016.


 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (kulia) akisalimiana na viongozi wa vyama mbalimbali vya siasa Mkoa wa Dodoma wakati wa hafla ya kukabidhiana uongozi wa Mkoa huo na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Chiku Gallawa (hayupo pichani) Machi 22,2016.
 Wakuu wa Wilaya za Mkoa wa Dodoma wakifuatilia hafla ya kukabidhiana uongozi wa Mkoa wa Dodoma baina ya Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Jordan Rugimbana na Mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (hawapo pichani) Machi 22,2016.
 Wajumbe wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Dodoma wakifuatilia hafla ya kukabidhiana uongozi wa Mkoa wa Dodoma baina ya Mkuu wa Mkoa huo Mhe. Jordan Rugimbana na Mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (hawapo pichani) Machi 22,2016.
 Mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa salamu zake wakati wa hafla ya kukabidhiana uongozi wa Mkoa wa Dodoma baina yake na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (hayupo pichani) Machi 22,2016.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana akitoa salamu zake wakati wa hafla ya kukabidhiana uongozi wa Mkoa wa Dodoma baina yake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe Mhe. Chiku Gallawa (hayupo pichani) Machi 22,2016.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (kulia) na Mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (kushoto) wakitilianan saini hati za makabidhiano ya Uongozi wa Mkoa wa Dodoma wakati wa hafla fupi iliyofanyika Machi 22,2016.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana (kulia) na Mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa (kushoto) wakibadilishana hati za makabidhiano ya Uongozi wa Mkoa wa Dodoma wakati wa hafla fupi iliyofanyika Machi 22,2016.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Jordan Rugimbana akionesha juu hati za makabidhiano ya uongozi wa Mkoa wa Dodoma wakati wa hafla ya makabidhiano baina yake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa mpya wa Songwe Mhe. Chiku Gallawa (hayupo pichani) Machi 22, 2016.

No comments: