Monday, March 10, 2014

WILDAF yaadhimisha siku ya wanawake Duniani kwa kuwapa somo kina mama

Washiriki wa Warsha ya siku moja ya kuadhimisha ya Siku ya Wanawake inayoadhimishwa kila March 8 Duniani kote,Wakimsikiliza Afisa kutoka Shirika la Wanawake Katika Sheria na Maendeleo (WiLDAF) wakati wakijiandisha kabla ya ufunguzi wa madhimisho hayo,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
Washiriki hao wakiendelea kujiandikisha.
Mkugenzi Mkuu wa Shirika la Wanawake Katika Sheria na Maendeleo ya Afrika (WILDAF),Judith Odunga (kulia) akizungumza wakati wa  ufunguzi wa Warsha ya siku moja ya kuadhimisha ya Siku ya Wanawake inayoadhimishwa kila March 8 Duniani kote,iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.Wengine pichano toka kushoto ni Lucy Marere kutoka Ubalozi wa Ireland,Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC),Wakili Harold Sungusia,Mhadhiri wa Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Wakili Jesse James,Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jinsia katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,Judith Kizenga pamoja na Muwakilishi wa YWCA,Itika Mwambungu
Mhadhiri wa Kitivo cha Sheria cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Wakili Jesse James akitoa mada kwenye Warsha ya siku moja ya kuadhimisha ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoratibiwa na Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo (WiLDAF),katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC),Wakili Harold Sungusia akitoa mada kwenye Warsha ya siku moja ya kuadhimisha ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyoratibiwa na Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo (WiLDAF),katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Help Foundation,Magreth Maina kutoka jamii ya Wafugaji akiwasilisha mada yake kwenye warsha hiyo.

Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jinsia katika Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,Judith Kizenga akizungumza wakati wa kufungua warsha ya siku moja ya kuadhimisha siku ya Wanawake Duniani,Iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es Salaam.

Washiriki wa Warsha ya siku moja ya kuadhimisha ya Siku ya Wanawake iliyoandaliwa na Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo (WiLDAF),wakimsikiliza Mratibu wa Hafla hiyo,Dk. Judith Odunga,alipokuwa akizungumza wakati wa ufunguzi wa madhimisho hayo,yaliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa,jijini Dar es Salaam.
Burudani ikitolewa na Wasanii mbali mbali.
Wawakilishi wa Wanawake wa Jamii ya Wafugaji kutoka Mkoani Arusha wakizungumza walipokuwa wakichangia mada zilizokuwa zikitolewa Ukumbini hapo.
Mada Ikitolewa.
Wachangia mada mbali mbali.
Washiriki wakipata chakula.

No comments: