Tuesday, December 17, 2013

Michezo ya Bandari yapamba moto

 Katibu Mkuu wa Dowuta Taifa, Bw. Jonathan Msoma akizungumza na Wanamichezo wa Bandari, katika siku ya kufunga michezo iliyofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Sigara Chang’ombe. Kulia ni Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Awadhi Massawe na Mganga Mkuu wa Mamlaka, Dkt. Mkunde Mlay.
Katibu Mkuu wa Dowuta Taifa, Bw. Jonathan Msoma akisaini mprira kama kumbukumbu ya kufunga michezo ya Bandari iliyofanyika hivi karibuni katika viwanja vya Sigara Chang’ombe. Kushoto ni mwamuzi wa Kimataifa, Othaman Kazi na katikati ni Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Bw. Awadhi Massawe.
 Timu ya mpira wa soka ya Makao Makuu ikiwa katika picha ya pamoja.
Mganga Mkuu wa Mamlaka, Dkt. Mkunde Mlay akisalimiana na wachezaji kabla ya kuanza kwa mechi ya mpira wa miguu.
 Mashabiki wa timu ya Bandari ya Dar es Salaam wakishangilia.
Mstahiki Meya wa wilaya ya Temeke, Maabad Hoja akisoma hotuba yake wakati wa kufungua michezo ya Bandari iliyofanyika katika viwanja vya Sigara hivi karibuni.

Mashabiki wa timu ya Makao Makuu wakishangilia.
Shabiki wa timu ya Makao Makuu, Saidi Janguo.

No comments: