Thursday, November 28, 2013

Kilimanjaro stars wafungana 1-1 NA Zambia

 Timu ya Taifa, kilimanjaro Stars Leo imecheza mechi yake ya kwanza ya CECAFA Challenge Cup  na timu ya Taifa ya Zambia katika mji wa Machakos, ambao uko takriban kilometa 60 kutoka Nairobi. Timu hizo zimefungana 1-1. Kwa ujumla mchezo ulikuwa mkali na wa kusisimua sana, Katika mechi iliyotangulia ambayo iliwakutanisha Burundi NA Somalia, Burundi iliwafunga Somalia goli 2. Yafuatayo ni matukio katika picha
 Hapa vijana wetu wakiwa katika Picha ya Pamoja Kabla ya kwanza kwa kipindi cha kwanza
 Bwana shiyo Pamoja na Gavana wa Machakos wakiwasalimia wachezaji.
 Mtanange ukiendelea uwanja wa Machakos
 Kilimanjaro Stars wakipata dua kabla ya mchezo 
 Kocha wa Zambia akihojiwa na wanahabari
 Mashabiki wa Kilimanjaro Stars wakishangilia timu yao
 Wachezaji wetu wakitoka nje ya uwanja baada ya mchezo huo
 Makocha wa timu zote mbili wakihojiwa baada ya mchezo
Bwana Innocent Shiyo wa tatu  kutoka kushoto wakati wa wimbo Wa Taifa wa Tanzania ukipigwa. kulia kwa Bwana Shiyo ni Balozi  wa Zambia nchini kenya Mh Josephine Mumbi Phiri. Picha kwa Hisani ya Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya

No comments: