Wednesday, October 17, 2012

SIMBA YATOKA SARE YA 2-2 NA KAGERA SUGAR

 Mshambuliaji wa Simba, Felix Sunzu akishangilia bao la kwanza aliloifungia timu yake dhidi ya Kagera Sugar wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Beki wa Kagera Sugar, Salum Kanoni (kushoto) akichuano na mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi
Kiungo wa Kagera Sugar, Malegesi Mwangwa akichuana na mshambuliaji wa Simba, Mrisho Ngassa
Beki wa Kagera Sugar, Amandus Nesta akimiliki mpira huku akizongwa na beki wa Simba, Amir Maftah katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika jijini Dar es Salaam leo. Timu hizo zilitoka sare ya 2-2

No comments: