Monday, August 1, 2011

ankal apigwa babakyuu la nguvu kwa wadau wa baltimore

Ankal akioneshwa nini maaana ya babakyu. Mwenyeji ni Kaka Benja mwenye kisingleti
Ankal na mchezaji wa zamani wa Pazi Basketball team Vitalis Gunda na mdau
DJ Luke Joe na mdau wakichill
Ankal na mdau na ma-ankal
Wadau waki-chill Baltimore kwa Kaka Benja
Milango ya Maryland
Ankal akiwa ana chill na wadau wa Baltimore
Stori kwa kwenda mbele
Raha tupu

1 comment:

Anonymous said...

sema Yasini, nakuona mjomba, Ben hapa Toronto...