Thursday, May 5, 2011

uzinduzi wa NMB bank house



Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akitembezwa katika jengo la Bank House la NMB jijini Dar lililokarabatiwa upya
Hotuba toka kwa mkurugenzi wa NMB
Huduma kwa wateja wakubwa wa NMB wakati wa uzinduzi wa jengo
Bosi wa Masoko wa NMB akitoa maelekezo kwa vijana wake
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akioneshwa kaunta mpya
Maelezo kwa Waziri Mkuu
Waziri Mkuu akisabahiana na wafanyakazi wa Bank House
Waziri Mkuu katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa NMB wa tawi la Bank House
Ukumbi uliokarabatiwa wa NMB wa Bank House
Mapokezi

Huduma kwa wateja

No comments: