
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akitembezwa katika jengo la Bank House la NMB jijini Dar lililokarabatiwa upya

Hotuba toka kwa mkurugenzi wa NMB

Huduma kwa wateja wakubwa wa NMB wakati wa uzinduzi wa jengo

Bosi wa Masoko wa NMB akitoa maelekezo kwa vijana wake

Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akioneshwa kaunta mpya

Maelezo kwa Waziri Mkuu

Waziri Mkuu akisabahiana na wafanyakazi wa Bank House

Waziri Mkuu katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa NMB wa tawi la Bank House

Ukumbi uliokarabatiwa wa NMB wa Bank House

Mapokezi


Huduma kwa wateja

No comments:
Post a Comment