Monday, May 2, 2011

Sherehe za Muungano Zafana UK

Balozi wa Tanzania nchini UK,Mh. Peter Kallaghe akifungua sherehe hizo.
Kiondo kutoka ubalozini akiwa na familia yake.
Maofisa kutoka ubalozini katika sherehe.
wadau wakila pozi.
Mh. Balozi Akiwa na wadau wa Urban Pulse.
Mkurugenzi wa Aset, Asha Baraka akiongea na mama balozi.
Francia ambaye alikuwa akisherekea siku ya kuzaliwa leo na meneja wake Shelamima.
Mh Balozi akiwa na mkewe wakifungua mziki.
Tina na Jesse Malongo.
Kawelee akiwa mzigoni.
Jambo band akitumbuiza.
wakati wa kulisakata rhumba.

No comments: