Friday, March 11, 2011

semina ya Bunge ya wandishi wa habari leo Bagamoyo

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anne Makinda na maofisa waandamizi wa Bunge katika picha ya pamoja baada ya kufungua semina ya siku mbili kwa waandishi wa habari toka vyombo mbalimbali hoteli ya Millenium mjini Bagamoyo.
Mh. Makinda akisogea kupiga picha
na wanasemina wanawake
Ankal na Mh. Spika
Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania Kajubi Mukajanga (shoto), Jenerali Ulimwengu (kati) na Mhariri wa gazeti la Mwanahalisi Saeed Kubenea wakijadili jambo.
Spika wa Bunge Mh. Anne Makinda akijibu maswali toka kwa waandishi wakati wa semina ya siku mbili iliyoandaliwa na Bunge katika hoteli ya Millenium mjini Bagamoyo leo
Waandishi waandamizi wakiwa katika semina hiyo
Waandishi wakisikiliza mada
Maofisa wa habari toka Maelezo
Umakini
Semina ikiendelea
Wakiwa makini
Paparazi...

Mkurugenzi wa Mawasiliano akitambulisha waliohudhuria
Maafisa wa Bunge wakijitambulisha
Wadau wakisubiri 'na menginey..."
Ukumbi umejaa
Mhariri Mtendaji wa gazeti la MwanaHAlisi Bw. Saeed Kubenea akiuliza swali

No comments: