Thursday, March 10, 2011

UZINDUZI WA NYUMBANI LOUNGE WAFANA SANA USIKU HUU

Wadau wakibarizi Nyumbani
Ilikuwa ni furaha tupu
Jide na wadau
Gadna na wadau
Gadna, Muddy na Ankal wakiwakilisha Bwawa la Maini
Wakali wa Hip Hop wakiwa Nyumbani
Wadau wa Arusha ndani ya Nyumba
Master J na Jaffarai wakiwakilisha
Lady Jay Dee na Machozi Band wakifanya vitu vyao usiku huu katika uzinduzi wa kiota kipya kabisa cha Nyumbani Lounge kilichopo Namanga,ubavuni mwa Best Bite.
Machozi Band na Lady Jay Dee wakikamua usiku huu.
hivi ndivyo mambo yalivyo ndani ya Nyumbani Lounge usiku huu.

No comments: