Friday, November 4, 2016

WANANCHI KIJIJI CHA MKALAMA WAUNGA MKONO KAMPENI ZA MKUU WA WILAYA YA HAI ZA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA


Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akizungumza na wananchi katika kijiji cha Mkalama waliojitokeza kuunga mkono kampeni ya ujenzi wa vyumba vya madarasa iliyozinduliwa hivi karibuni wilayani humo. 


Baadhi ya Kina mama wakishiriki shughuli ya usombaji wa mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi wa madarasa katika shule mpya ya Kilima Mswaki iliyopo katika kijiji cha Mkalama wilayani Hai. 
Afisa tawala wa wilaya ya Hai,Julieth Mushi akishiriki katika zoezi la ubebaji wa mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi katika shule hiyo. 

Katibu tawala wa wilaya ya Hai,Upendo Wela akishiriki katika usombaji wa mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi katika shule mppya ya Kilima Mswaki. 

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Mkalama wilayani Hai wakishiriki kuvunja na kubeba mawe kwa ajili ya ujenzi wa msingi wa madarasa katika shule mya ya Kilima Mswaki iliopo kijijini hapo. 

Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akishiriki katika kuchimba msingi katika shule mpya ya Kilima Mswaki wakati wa kuanza kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa. 
Katibu tawala wa wilaya ya Hai Upendo Wela akishiriki kuchimba msingi katika shule hiyo. 
Sehemu ya Msingi ulianza kuchimbwa katika shule mpya ya Kilima Mswaki iliyopo katika kijiji cha Mkalama. 
Sehemu ya Mawe yaliyokusanywa kwa ajili ya ujenzi wa msingi katika shule ya Kilima Mswaki . 
Moja ya Madarasa yaliyojengwa kwa nguvu ya wananchi katika eneo la Kilima Mswaki kwa ajili ya kusaidia wanafunzi wanaotembea umbali mrefu kufuata shule moja pekee ya Mkalama iliyopo katka kijiji hicho.
Mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Byakanwa akizunumza katika kikao na wanachi wa kijiji cha Mkalama mara baada ya kushiriki zoezi la uchimbaji na ujenzi wa msingi kwa ajili ya madarasa katika shule ya msingi ya Kilima Mswaki. 

Baadhi ya wnachi wakimsikiliza Mkuu wa wilaya (hayupo pichani) wakati akizungumza nao kuhusu kuchangia katika ujenzi wa madarasa katika kijiji cha Mkalama wilayani Hai. 
Katibu tawala wa wilaya ya Hai,Uoendo Wela akizungumza wakati wa kikao hicho.kulia ni mkuu wa wilaya ya Hai,Gelasius Bakanwa. 

Baaadhi ya Wananchi. 

Baadhi ya wananchi wakicahngia fedha katika harambee ya ujenzi wa vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Kilima Mswaki iliyopo katika kijiji cha Mkalama wilayani Hai Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini 

KUTOKA BUNGENI

Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (MB), (kushoto), akijibu hoja mbalimbali za Waheshimiwa wabunge kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2017/2018 na Mwongozo wa Kuandaa Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2017/2018, Bungeni Mjini Dodoma.
Baadhi ya Wabunge wakiwapongeza Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb) (Kulia) na Naibu Waziri wake Mhe. Dkt Ashatu Kijaji (Mb) (Katikati), baada ya kujibu hoja mbalimbali za Waheshimiwa wabunge kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2017/2018 na Mwongozo wa Kuandaa Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2017/2018, Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (Mb), akimpongeza Naibu Waziri wake, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, baada ya kuwasilisha kwa umahili mkubwa majibu ya serikali kutokana na hoja mbalimbali zilizotolewa na wabunge wakati wa kujadili Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2017/2018 na Mwongozo wa Kuandaa Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2017/2018, Bungeni Mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Mhe. Dkt Ashatu Kijaji (Mb), akizungumza na Kaimu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Bibi Florence Mwanri (kulia) pamoja na maafisa wengine waandamizi wa Tume hiyo baada ya kuwasilishwa kwa majibu ya hoja mbalimbali za Waheshimiwa Wabunge kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2017/2018 na Mwongozo wa Kuandaa Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2017/2018, Bungeni Mjini Dodoma.
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (MB), (kushoto), akipongezwa na Mbunge wa Liwale, George Huruma Mkuchika, baada ya Waziri huyo kujibu hoja mbalimbali za Waheshimiwa wabunge kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2017/2018 na Mwongozo wa Kuandaa Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2017/2018, Bungeni Mjini Dodoma.
Baadhi ya Maafisa waandamizi wa Wizara ya Fedha na Mipango pamoja na Tume ya Mipango, wakiwa katika picha ya pamoja baada ya Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (MB), na Naibu waziri wake Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) kujibu hoja mbalimbali za Waheshimiwa Wabunge kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2017/2018 na Mwongozo wa Kuandaa Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2017/2018, Bungeni Mjini Dodoma.
Kamisha wa Bajeti kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. John Cheyo (kulia), akibadilishana mawazo na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Profesa Joyce Ndalichako (katikati) na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Susan Kolimba, nje ya ukumbi wa Bunge baada ya Serikali kupitia Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango (Mb) na Naibu Waziri wake Mhe. Dkt Ashatu Kijaji (Mb), kujibu hoja mbalimbali za Waheshimiwa wabunge kuhusu Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2017/2018 na Mwongozo wa Kuandaa Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka 2017/2018, Bungeni Mjini Dodoma. (Picha zote na Benny Mwaipaja-Wizara ya Fedha na Mipango)

5TH EAC UNIVERSITY STUDENTS’ DEBATE ON REGIONAL INTEGRATION CONCLUDES AT THE KIGALI INDEPENDENT UNIVERSITY

The 5th EAC University students’ debate, themed “Youth Participation in Electoral Democracy”, has concluded at the prestigious Kigali Independent University (ULK), with the appointment of the new EAC Youth Ambassadors for next one year.

Addressing the students and guests at a colourful gala dinner and award ceremony, the Founder and President of Kigali Independent University, Prof. Dr. Rwigamba Balinda, reiterated that debates train students in critical thinking and creativity which are important for their success in the digital age as well as in knowledge acquisition and development.

Prof. Dr. Balinda said that debating enhances an individual’s communication skills and encourages research, adding that it also inculcates the culture of agreeing to disagree in addition to promoting tolerance and peaceful co-existence in the society. 
The Vice Chancellor of the Kigali Independent University (ULK), Dr. Ezechiel Sekibibi, congratulates a female student from the United Republic of Tanzania.

“At national, regional and global levels, debating/communication skills are essential in negotiations and dialogues,” said the scholar.

The ULK President challenged the youth to play an active role in promoting the EAC integration agenda by mobilizing, sensitizing and advocating for fellow students and youth through the EAC Youth Ambassadors’ Platform.

“Our commitment and assurance as educators/higher learning institutions is that we shall continue providing you with a conducive environment, guidance and support to make your requisite contribution. We in Rwanda have established debating clubs in universities, secondary schools and held national inter-university and secondary school students’ debates on regional integration annually,” said Prof. Balinda.

Speaking during the same occasion, the EAC Deputy Secretary General (DSG) in charge of Political Federation, Mr. Charles Njoroge, said one of the cardinal objectives of the EAC University students’ debate is “building a critical mass of youths as drivers of the integration process” and to spread the gospel of integration among peers and build strong relationships and networks that will solidify the integration process.
The Vice Chancellor of the Kigali Independent University Dr, Ezechiel Sekibibi hands over a certifi cate to Muhumuza Umar from the Mbarara University of Science and Technology (the new EAC Youth Ambassador for Uganda).

The DSG urged Ministries responsible for EAC Affairs in the Partner States and political leaders to support the work of the EAC Youth Ambassadors, who have been selected this year, to effectively promote and implement their integration programmes.

“These include but are not limited to mobilization, sensitization and information sharing with their peers,” said Mr. Njoroge.

He said the 5th Debate was a transition that marks the end of term for the EAC Youth Ambassadors for 2015/2016, but also ushers in the beginning of a new term for the new EAC Ambassadors for 2016/2017. 

He urged the new and outgoing Ambassadors to continue being proactive and advocating for the EAC integration in whatever they do so as to sustain their slogan; “EAC Youth – We move it.”

At the end of the debate, Mr. Patrick Ssemwogerere, from the Uganda Christian University in Mukono, Uganda emerged the Best Male Debater, while the Best Female Debater was Ms. Munduru Lucy Mega, from the International University of East Africa in Kampala, Uganda.

The Best Debating Team was the Alternative Strategy Team that comprised Patrick Ssemwogerere from Uganda Christian University, Iribagiza       Rose Kelly from National University of Rwanda’s College of Business and Economics, David Ndika from University of Dar es Salaam, and Muthuri Brian Kithinji from Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology in Kenya.

The newly appointed EAC Youth Ambassadors and their Deputies for the period 2016/2017 are as follows:

* Rwanda: Ms. Iribagiza Rose Kelly from the National University of Rwanda (Ambassador) and her Deputy is Ms. Yves Rene Uwayo also from the National University of Rwanda
* United Republic of Tanzania: Yohana Mayenga from the University of Dar es salaam (Ambassador) and his Deputy is Ms. Suzane W Mollel from Makumira University in Arusha, Tanzania
* Kenya: Ms. Yvonne Anna Gathoni Muriithi Muthuri from the Catholic University of Eastern Africa in Nairobi (Ambassador) and her Deputy is Muthuri Brian Kithinji from Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology
* Uganda: Muhumuza Umar from the Mbarara University of Science and Technology (Ambassador) and his Deputy is Ms. Naluyima Agwang Samantha from Makerere University in Kampala

University Students Debaters from the Republic of Burundi were expected but did not show up. The Republic of South Sudan that has just joined the Community is expected to participate in the 6th edition of the Students’ Debate.

The Secretariat organized a two-days Training of Trainer’s and an induction workshop for the newly appointed EAC Youth Ambassadors on EAC integration, structures and processes that took place from 2nd to 3rd November 2016, at the Kigali Independent University.

MAGAZETI YA LEO IJUMAA NOV 04










Thursday, November 3, 2016

NYUKI WAZUA KIZAA ZAA KATIKA MCHEZO WA RUVU SHOOTING NA AFRICAN LYON

 Wachezaji wa timu za Ruvu Shooting wenye jezi rangi ya bluu na wa African Lyon wakiwa wamelala chini ikiwa ni kujihami na makundi ya nyuki ambayo yalikuwa yanapita uwanjani hapo hivyo wachezaji, waamuzi na mabenchi ya wachezaji wa akiba wote walilazimika kulala chini ikiwa ni kujinusuru kutokana na hali hiyo. Katika mchezo huo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara. Shooting iliibuka na ushndi wa bao 1-0 lililofungwa na mshambuliaji mwenye nguvu za miguu Issa Kanduru kunako dakika ya 19.
 'Ni kama wanasema 'Nyuki hao bado wapo tuendelee kujificha chini ya viti"

 Watu wazima chini ya viti 'Chezea nyuki wewe'

MAHOJIANO YA KWANZA YA RAIS MAGUFULI NA WAHARIRI



EAC SET TO PARTICIPATE IN THE 22ND SESSION OF THE CONFERENCE OF PARTIES TO THE UNFCCC TAKING PLACE IN MARRAKECH, MOROCCO

East African Community Headquarters, Arusha, Tanzania, November 3rd, 2016: Preparations are in high gear at the East African Community Secretariat for it to effectively take part in the 22nd Session of the Conference of Parties (COP22) to the United Nations Framework Convention on Climate Change (UNFCCC) and the 12th Meeting of Parties to Kyoto Protocol (CMP12) to be held from 7th to 18th November, 2016 in Marrakech, Morocco.   

The first session of the Conference of the Parties serving as the Meeting of the Parties to the Paris Agreement (CMA1) will also take place in Marrakech in conjunction with COP 22 and CMP 12. The main purpose of these sessions is to review the progress in the implementation of decisions and directives of COP 21/CMP11 and agree the way forward on the implementation of the Paris Agreement.

The EAC delegation will be lead by the Deputy Secretary General in charge of Finance and Administration, formerly of Productive and Social Sectors, Hon. Jesca Eriyo.

As part of the preparations for the COP22/CMP12, the EAC Secretariat with support from US Government, undertook national climate change consultative meetings from 12th September to 4th October, 2016 in all Partner States seeking to identify national climate change priorities with a view to developing the common regional position to guide negotiations during the COP22/CMP12 and CMA1 sessions. Furthermore, the national consultations aligned countries’ road map for implementation of the Paris Agreement to the roadmap proposed by the EAC Secretariat.

In the preparatory meetings, EAC Secretariat facilitated and coordinated the national climate change consultations. Discussions on the review of Nationally Determined Contribution (NDCs) in line with the Paris Agreement was initiated. Further, a consolidated common regional position was developed to ensure the region speaks with one voice in Marrakech.

Commenting ahead of the Delegation’s departure for Morocco, the Deputy Secretary General said at the COP 22/CMP12/CMA1 sessions, the EAC Secretariat will coordinate the participation of Partner States during the consultations and negotiations processes. Furthermore, the EAC Secretariat in collaboration with Partners, will organize side events to show case the achievements that have been realized in a bid to strengthen resiliency and sustainability of key productive sectors in a wake of climate change.  The EAC Secretariat will jointly organize the side events with USAID/PREPARED Project, GIZ, IUCN, UNFCCC and ARCOS and will focus on the 3 thematic areas, namely;Enhancing Ambition – Pre-2020 Action; any issues that help increase and realize ambition:
Forest Land Restoration and attaining the 2035 targets
EAC Mountains in changing Climate – An EAC Reality
EAC aiming to achieve sustainable Climate Change Finance by 2020

(b) Promoting Implementation – Methodologies, Showcasing of Climate Action, Global Stock Take:

Green House Gas Emissions: Is EAC doing it right?
Disaster Risk Reduction Management – What should we learn from EAC?

(c) Providing Support to Developing Countries – Means of Implementation, Replicable Tools and Approaches:

Achievements and lessons learned from the implementation of PREPARED Program;
EAC Renewable Energy Initiative: What to Expect from EACREEE?
Climate Smart Agriculture and the EAC CAADP: Where is the Nexus?

UNFCCC’s COP22/CMP12 is expected to mark the first step in the implementation of the Paris Agreement by devising the modality and mechanism for the implementation.  For Africa in particular, COP22/CMP12 coincides with the increasing influence and confidence on the global scene, in light of African economies notable growth trends over past decade.  Therefore, COP22/CMP12 represent a moment of opportunity for Africa to assert itself in global climate governance and ensure that the implementation of the Paris Agreement is guided by the Principles of the Convention particularly the principle of equity, justice and principle of common but differentiated responsibilities and respective capabilities. 

 Notes to Editor 
UNFCCC’s COP22/CMP12 will be a landmark event in the implementation of the Paris Agreement for global climate governance in post Kyoto period. For Africa and developing countries in particular, COP22/CMP12 is crucial as it will provide an opportuinty to re-negotiate and agree on the modality to contribute to Global emmission reductions through implementation of the Nationally Determined Contributions (NDCs). Therefore, COP22/CMP12 represents a moment of opportunity for Africa to assert itself in global climate governance and ensure that the implementation of the of Paris Agreement are congruent with the continent’s long term sustainable development agenda.

SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI


SIMU.TV: Watu watatu wamekufa na wengine watatu kujeruhiwa baada ya kifusi kuwafunika katika machimbo ya dhahabu wilayani Iramba mkoani Singida; https://youtu.be/N-s_n9zA6lg

SIMU.TV: Rais Dr John Magufuli, amekutana na muwakilishi wa benki ya dunia kwa ukanda wa nchi za kusini na kuzungumzia utekelezi wa miradi ya maendeleo nchini Tanzania; https://youtu.be/aygJEDpRCTo

SIMU.TV: Waziri mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali itaendelea kupeleka fedha katika halmashauri zote nchini ili kuwaletea wananchi maendeleo; https://youtu.be/gev96GWM1eg

SIMU.TV: Jeshi la polisi mkoani Arusha linamshikilia mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema ambae amesafirishwa kutoka Dodoma kwa tuhuma za uchochezi; https://youtu.be/GM0WrdKl9z8

SIMU.TV: Rais Dr John Magufuli kesho atafanya mahojiano ya kwanza na waandishi wa habari tangu akalie kiti cha Urais nchini Tanzania; https://youtu.be/p_GRR1Flhqc

SIMU.TV: Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki amefungua kikao cha baraza la mawaziri asasi na kisiasa ulinzi na usalama kwa wabunge wa kusini mwa Afrika; https://youtu.be/DZAfXzueEfw

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar Es salaam Paul Makonda amewaasa wazazi nchini kuhimiza watoto wao kusoma masomo ya sayansi; https://youtu.be/JfJDoiqCDBM

SIMU.TV: Katika kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Magufuli madarakani, kituo cha uwekezaji TIC kimesajili miradi yenye thamani ya Dola Bilioni kumi; https://youtu.be/9bUCwU0ZITs

SIMU.TV: Kituo cha utafiti wa zao la Korosho cha Naliendele mkoani Mtwara kimewashauri wakulima wa zao hili kutumia mbinu ya ubebeshaji ili kuongeza uzalishaji; https://youtu.be/qlpZNIeGJOM

SIMU.TV: Baadhi ya wafanyabiashara wanaoshiriki maonesho ya Syria wamelazimika kuuza biashara zao kwa bei ya chini kutokana na hali ya wateja wao; https://youtu.be/c5k_6Hx7IuY

SIMU.TV: Waamuzi waliochaguliwa kuchezesha michuano ya Netiboli kombe la muungano wametakiwa kufuata sheria na kuchezesha kwa haki; https://youtu.be/kU9l8Dn-mAk

SIMU.TV: Kocha mkuu wa Serengeti boys Bakari Shime, amesema mashindano ya kimataifa wanayokwenda kushiriki nchini Korea Kusini itasaidia kukuza kiwango chao; https://youtu.be/nnnf6F-5U8o

SIMU.TV: Mashabiki wa Timu ya Yanga wametakiwa kutokata tamaa na matokeo ya jana na watakiwa kuendelea kuisapoti timu yao kwani mapambano bado yanaendelea; https://youtu.be/BI-a46wFPR0

SIMU.TV: Wadau mbalimbali wa michezo nchini wameuzungumzia mwaka mmoja wa Rais Magufuli akiwa madarakani katika nyanja ya michezo; https://youtu.be/FfDDKoedCFA

SIMU.TV: Wasomi wa vyuo vikuu katika jiji la Dar es Salaam wamesema uongozi wa rais Magufuli umetikisa mifumo iliyoota mizizi kama rushwa na uwajibikaji mbovu katika sekta ya umma. https://youtu.be/MwhsHa7KNoA

SIMU.TV: Kikosi cha kukusanya mapato katika halmashauri ya wilaya ya Liwale kimefanikiwa kukamata pikipiki moja na mbao zaidi ya 800 zinazosadikiwa kuvunwa kinyume na sheria. https://youtu.be/SrSZg4h011Y

SIMU.TV: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amepokea msaada wa madawati  kutoka kwa shule za Al muntazir ikiwa ni juhudi za kumaliza tatizo la madawati nchini. https://youtu.be/4wygSfNVEuE

SIMU.TV: Wabunge wa Tanzania katika bunge la Afrika Mashariki wametakiwa kuanza kuangalia fursa za masoko kwa bidhaa za Tanzania wakati tukielekea kwenye uchumi wa viwanda. https://youtu.be/gYay_jGm314

SIMU.TV: Baadhi ya watoto waliorejeshwa shule wakitokea kwenye ajira hatarishi za migodini wameiomba serikali kuwachukulia hatua wanaowaajiri watoto. https://youtu.be/bPg4v7wAp2E

SIMU.TV: Baadhi ya wanafunzi katika chuo kishiriki cha elimu cha DUCE wameiomba serikali kuharakisha utoaji wa mikopo kutokana na kukosa fedha za kujikimu. https://youtu.be/hPGmf6Ve3D8

SIMU.TV: Wasichana 50 waliokatisha masomo kwasababu ya kuolewa wakiwa katika umri mdogo katika wilaya za Butiama na Musoma wamepokea msaada wa milioni tano kwa ajili ya kufanyia shughuli za kujiendeleza kiuchumi. https://youtu.be/4L1odWfUg6Q

SIMU.TV: Wakulima wa tumbaku mkoani Tabora wameshauriwa kulima mazao mbadala ya biashara ili kukabiliana na athari za uharibifu wa mazingira. https://youtu.be/8YSXetx5Dfo

SIMU.TV: Klabu ya Mtibwa Sugar imefanikiwa kuibuka na ushindi ilipokuwa ugenini kucheza na Mwadui fc na kuifunga mabao matatu kwa mawili. https://youtu.be/R7RHcJfYdA8

SIMU.TV: Kocha mkuu msaidizi wa timu ya Sister Fc ya mkoani Kigoma Almas Madau amefariki dunia na kuacha pengo kubwa kwa timu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya wanawake nchini. https://youtu.be/JKiI3dPb-gA

SIMU.TV: Wasanii wa maigizo na filamu katika halmashauri ya manispaa ya Iringa wamelalamiki ongezeko la wezi wa kazi zao na kuwafanya wasinufaike na kazi hizo. https://youtu.be/8MwwMXUW-D4