Wednesday, January 9, 2019

RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA VIONGOZI MBALIMBALI IKULU DAR ES SALAAM LEO

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akumuapisha Mhe. Doto Biteko kuwa Waziri wa Madini kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Zainab Chaula kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bi. Doroth Mwaluko kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera na Uwekezaji) kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhandisi Elius Mwakalinga kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Faustin Kamuzora kuwa Katibu Tawala mkoa wa Kagera  kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Dorothy Gwajima kuwa Naibu Katibu Mkuu (TAMISEMI (Afya)  kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akumuapisha  Dkt. Francis michael kuwa Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Jaji (Mst.) James Bwana kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Umma  kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bw. George Yambesi kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bw. Yahya Fadhili Mbila  kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma   kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha  Bw. Daniel Ole Njoolay kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma  kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha  Balozi John Michael Haule kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma   kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapishab Bi. Bi. Khadija Ali Mohamed kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Bi. Immaculate Peter Ngwale kuwa Kamishna wa Tume ya Utumishi wa Umma   kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019 
 Kamishna wa Maadili ya Viongozi wa Umma  Jaji (Mstaafu) Harold Nsekela akiwaapisha viongozi walikula kiapo

 Viongozi walioapishwa wakila kiapo cha maadili
 Viongozi wa dini wakitambulishwa ukumbini
 Jaji Mkuu Profesa Ibrahim Juma akiongea baada ya Rais kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
 Spika Job Ndugai akiongea baada ya Rais kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
 Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akiongea baada ya Rais kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
 Viongozi mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
 Viongozi mbalimbali wakimsikiliza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiongea baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipeana mikono na Spika Job Ndugai  baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na wanahabari baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali kwenye hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Januari 9, 2019











1 comment:

Blogger said...

If you're looking to lose pounds then you absolutely have to jump on this totally brand new custom keto plan.

To design this keto diet, certified nutritionists, personal trainers, and professional chefs have united to provide keto meal plans that are powerful, painless, economically-efficient, and satisfying.

Since their first launch in early 2019, hundreds of clients have already transformed their body and well-being with the benefits a professional keto plan can offer.

Speaking of benefits; clicking this link, you'll discover 8 scientifically-confirmed ones offered by the keto plan.