Friday, January 4, 2019

BEI ZA MATUNDA MBAGALA KWA SIKU YA LEO

Na Emmanuel Massaka, MMG  
WAFANYABIASHARA wa matunda katika kituo cha mabasi Mbagala Rangi jijini Dar es Salaam wameeleza kuwa kwa sasa matunda yameongezeka, huku wakibainisha wazi bei ambazo wanauza kwa wateja wao. 

Wakizungumza leo na Michuzi Blog jijini Dar es Salaam wafanyabiashara  hao kuhusu bei ya  hapo katika kituo cha mabasi Mbagala Rangi.
 Bei hizo ni kama ilivyo hapo chini 
Picha zote na Emmanuel Massaka, MMG.

No comments: