Saturday, December 1, 2018

RAIS WA ZANZIBAR AWAAPISHA VIONGOZI ALIOWACHAGUA HIVI KARIBUNI




RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Ndg. Salum Kassim Ali, hafla hiyo imefanyika leo 1-12-2018 Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
IMG_0814
VIONGOZI walioteuliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, hivi karibuni wa  kwanza Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi  Zanzibar Ndg. Thabit Idarous  Faina, Katibu wa Tume ya Maadili ya Viongozi  wa Umma  Zanzibar Bi. Asma Hamid Jidawi na Naibu Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg. Salum Kassim Ali, wakipitia Hati zao za kiapo kabla ya kuaza kwa hafla hiyo iliofanyika leo 1-12-2018 Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
IMG_0819
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Balozi  Seif Ali Iddi, akisalimiana na Mkurugenzi Mpya wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar kabla ya kuapisha  Ndg. Thabit Idarous Faina, alipowasili katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar kuhudhuria hafla hiyo ya kuapishwa leo Ikulu 1-12-2018.(Picha na Ikulu)
IMG_0829
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisaini hati ya kiapo ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Ndg. Salum Kassim Ali, baada ya kumuapisha hafla hiyo imefanyika leo 1-12-2018 Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
IMG_0839_1
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Katibu  Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma  Zanzibar Bi.Asma Hamid Jidawi, hafla hiyo imefanyika leo  1-12-2018 Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
IMG_0841
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisaini hati ya Kiapo ya Katibu wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar.Bi. Asma Hamid Jidawi, baada ya kumuapisha leo 1-12-2018, hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
IMG_0849
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)Ndg. Thabit Idarous Faina, hafla hiyo imefanyika leo 1-12-2018, Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
IMG_0854
AIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akisaini hati ya Kiapo ya Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Ndg. Thabit Idarous Faina, baada ya kumuapisha , hafla hiyo imefanyika leo 1-12-2018 Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
IMG_0861
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akimkabidhi hati ya kiapo Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar, Ndg. Thabit Idarous Faina,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
IMG_0865
BAADHI ya Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa Viongozi walioteuliwa hivi karibu kuchukua nyadhifa hizo, hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar,1-12-2018. (Picha na Ikulu)
IMG_0868
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Said Hassan Said, wa kwanza kulia akiwa na baadhi ya Mawaziri waSerikali ya Mapinduzi Zanzibar, wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Viongozi walioteuliwa hivi karibu kushika nyadhifa hizo, hafla hiyo imefanyika Ikulu Zanzibar.1-12-2018.(Picha na Ikulu)
IMG_0873
BAADHI ya Wanafamilia wa Viongozi walioteuliwa hivi karibuni wakihudhuria hafla hiyo ya kuapishwa iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
????????????????????????????????????
BAADHI ya Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Naibu Katibu  Mkuu Wizara ya Nchi  Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi , Mkurugenzi  wa  Tume ya Uchaguzi  Zanzibar na Katibu wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar  Bi.Asma Hamid Jidawi, hafla hiyo imefanyika leo 1-12-2018  Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)
????????????????????????????????????
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiingia katika ukumbi wa  mkutano Ikulu Zanzibar, kwa ajili ya hafla ya kuwaapisha Viongozi aliowateua hivi karibu kushika nyadhifa hizo, hafla hiyo imefanyika Ikulu leo,1-12-2018 .(Picha na Ikulu)

IMG_0927
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa  Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein,kushoto Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Ndg.Salum Kassim Ali, Katibu wa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma Zanzibar.Bi. Asma Hamid Jidawi  na kulia Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid, Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar(ZEC)Ndg Thabit Idarous Faina na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi,  wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika hafla hiyo, iliofanyika Ikulu Zanzibar.(Picha na Ikulu)

No comments: