Diwani Kata ya Mecco Manispaa ya Ilemela, Godlisten Kisanga (CCM) akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha pamoja na waalimu wote wa Shule tatu za Msingi (Nundu, Nundu D na Nyamwilekelwa) katika Kata hiyo iliyolenga kuwapongeza waalimu hao kwa juhudi zao za kuimarisha ufaulu kwa wanafunzi wanaohitimu darasa la saba.
Afisa Elimu Kata ya Mecco Manispaa ya Ilemela, Mwl. Agnes Mugyabuso (kushoto), Shule zilizofanya vizuri kwa kila somo katika Kata hiyo kwenye mtihani wa darasa la Saba mwaka huu ambapo Shule hizo zilikabidhiwa cheti cha pongezi na Diwani wa Kata ya Mecco, Godlisten Kisanga.
Diwani Kata ya Mecco Manispaa ya Ilemela, Godlisten Kisanga (kulia), akimkabidhi Cheti cha pongezi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyamwilekelwa, Mwl. Lyatura Mukama (kushoto) baada ya Shule yake kuibuka kidedea kwenye masomo ya Kiswahili na Kiingereza.
Alama za ufaulu/ ushindi zilizoshindanishwa ni A na B tu
Diwani Kata ya Mecco Manispaa ya Ilemela, Godlisten Kisanga (kulia), akimkabidhi Cheti cha pongezi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nundu D, Mwl. Lucas Robert (kushoto) baada ya Shule yake kuibuka kidedea kwenye masomo ya Hisabati na Maarifa ya Jamii.
Utaratibu huu wa kushindanisha Shule za Msingi Kata ya Mecco umelenga kuongeza kiwango cha ufaulu kwa alama A na B tu.
Diwani Kata ya Mecco Manispaa ya Ilemela, Godlisten Kisanga (kulia), akimkabidhi Cheti cha pongezi Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nundu, Mwl. Charles Njuka (kushoto) baada ya Shule yake kuibuka kidedea kwenye somo la Sayansi.
Mtendaji Kata ya Mecco akitoa neno la pongezi kwa waalimu wa shule za Msingi katika Kata hiyo.
Diwani wa Kata jirani ya Buzuruga, Richard Machemba (Chadema), akiwasilisha salamu zake za pongezi kwenye hafla hiyo.
Mwakilishi wa mbunge Jimbo la Ilemela, akiwasilisha salamu zake.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi CCM Kata ya Mecco, Charles Matiku akiwasilisha salamu zake kwenye hafla hiyo.
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Manispaa ya Ilemela, Mohamed Yusuph akizungumza kwenye hafla hiyo ambapo aliahidi kuanzia mwakani atasaidia kudhamini mitihani mbalimbali ya ushindani ili kuwajengea uwezo zaidi wanafunzi.
Baadhi ya waalimu wa Shule za Msingi Kata ya Mecco wakiwa kwenye hafla hiyo.
Baadhi ya waalimu wa Shule za Msingi Kata ya Mecco wakiwa kwenye hafla hiyo.
Diwani wa Kata ya Mecco Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza, Godlisten Kisanga (CCM) amewapongeza waalimu wote wa Shule za Msingi katika Kata hiyo kwa juhudi zao za kuhakikisha kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa darasa la saba kinazidi kuongeza.
Kisanga alitoa pongezi hizo jana Disemba 06, 2018 kwenye hafla ya chakula cha pamoja na waalimu hao kutoka Shule za Msingi Nundu, Nundu D na Nyamwilekelwa iliyolenga kuwapongeza na kukabidhi vyeti vya pongezi kwa Shule zilizofanya vizuri kwa kila somo kwenye matokeo mtihani wa darasa la saba.
Tazama BMG Online TV hapa chini
1 comment:
UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.
Post a Comment