Thursday, August 30, 2018

WAZIRI LUGOLA MGENI RASMI MKUTANO MKUU WA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI, JIJINI DODOMA.

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (kushoto), akimsalimia Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhan Kailima, wakati Waziri huyo alipokua anawasili katika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, jijini Dodoma leo kwa akili ya kufungua kikao kazi cha Makamanda wa Jeshi hilo. Wakati Makamanda hao wanajitambulisha, Lugola aliwafukuza kikaoni robo tatu ya makamanda hao kwa kutamka Jeshi la Zimamoto pekee bila kumalizia neno na Uokoaji. Hata hivyo, makamanda hao baadaye waliruhusiwa kuingia ukumbini kuendelea na kikao. Kulia ni Kamishna Jenerali wa Jeshi hilo, (CGF) Thobias Andengenye, na wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma,  Kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhan Kailima, na wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi.

 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CGF) Thobias Andengenye, akizungumza na Makamanda wa Jeshi lake katika kikao kazi kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, jijini Dodoma leo. Mgeni rasmi katika ufunguzi wa kikao hicho ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (watatu kulia). Katika kikao hicho, Lugola aliwafukuza kikaoni robo tatu ya makamanda waliohudhuria kikao hicho kwa kutamka Jeshi la Zimamoto pekee bila kumalizia neno Uokoaji, hata hivyo baadaye aliwaruhusu kuendelea na kikao hicho.
.

 Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CGF) Thobias Andengenye, akizungumza na Makamanda wa Jeshi lake katika kikao kazi kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, jijini Dodoma leo. Mgeni rasmi katika ufunguzi wa kikao hicho ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (watatu kulia). Katika kikao hicho, Lugola aliwafukuza kikaoni robo tatu ya makamanda waliohudhuria kikao hicho kwa kutamka Jeshi la Zimamoto pekee bila kumalizia neno na Uokoaji, hata baadaye aliwaruhusu kuendelea na kikao hicho
 Sehemu ya Makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji waliofukuzwa kikaoni na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (hayupo pichani), katika Kikao Kazi cha Jeshi hilo kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, jijini Dodoma leo. Lugola aliwafukuza kikaoni robo tatu ya makamanda hao waliohudhuria kikao hicho kwa kutamka Jeshi la Zimamoto pekee bila kumalizia neno na Uokoaji.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na Makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika Kikao Kazi chao kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, jijini Dodoma leo. Lugola aliwafukuza kikaoni robo tatu ya makamanda waliohudhuria kikao hicho kwa kutamka Jeshi la Zimamoto pekee bila kumalizia neno na Uokoaji.
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, akizungumza na Makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika Kikao Kazi chao kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, jijini Dodoma leo
 Sehemu ya makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika Kikao Kazi chao kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, jijini Dodoma leo
  Sehemu ya makamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji katika Kikao Kazi chao kilichofanyika Ukumbi wa Mikutano wa Polisi, jijini Dodoma leo.
.

 Kamishna wa Operesheni wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Billy Mwakatage akimshukuru Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola (Mb), mara baada ya kufungua rasmi Kikao cha Makamanda wa Jeshi hilo katika ukumbi wa Bwaro la FFU, Jijini Dodoma.

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola (watatu kushoto-waliokaa), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Ramadhan Kailima (wapili kulia), Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, (CGF) Thobias Andengenye (wapili kushoto) na Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi (watatu kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na makamanda wa Jeshi hilo, baada ya Waziri Lugola kufungua kikao kazi chao, kilichofanyika katika ukumbi wa polisi, jijini Dodoma leo.
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Kangi Lugola (Mb), akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa Wilaya wa Dodoma Patrobas Katambi (watatu kulia), Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Ramadhani Kailima (wapili kulia), Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye (wapili kushoto), Makamishna na Makamanda wa Mikoa wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, mara baada kufungua rasmi Kikao cha Makamanda wa Jeshi hilo katika ukumbi wa Bwaro la FFU, Jijini Dodoma
(Picha zote na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji)

No comments: