Thursday, August 16, 2018

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AWASILI NAMIBIA KUHUDHURIA MKUTANO WA 38 WA SADC

 Ndege iliyomchumchukua Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia Jumatano Agosti 15, 2018
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Christine Hoebes alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia tayari kwa mkutano wa 38 wa SADC akimwalikilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli 
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Elimu ya Juu , Mafunzo na Ubunifu wa Namibia Mhe. Dkt. Itah Kandjii-Murangi alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia tayari kwa mkutano wa 38 wa SADC akimwalikilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli 
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akilakiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga  alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia 
Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akilakiwa na  Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Adolf Mkenda  alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia 
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akilakiwa na  Balozi wa Namibia nchini Tanzania Mhe. Theresia Samaria alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia 
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda Wizara ya Mambo ye Nje na Uhusiano wa Afrika Mashariki Balozi Innocent Shiyo alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia 

 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Balozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Mhe. Sylvester Ambokile  alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia 

 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Ali Juma Khamis  alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia 

 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na afisa mwandamizi katika Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini Bw. Richard Lupembe alipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia 
 akamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa ameongozana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Christine Hoebes mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia

 akamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akipatiwa heshima na kikosi cha askari akiwa ameongozana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Christine Hoebes mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Elimu ya Juu , Mafunzo na Ubunifu wa Namibia Mhe. Dkt. Itah Kandjii-Murangi  Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa nchi hiyo Christine Hoebes mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga, Waziri wa Elimu ya Juu, Mafunzo na Ubunifu wa Namibia Mhe. Dkt. Itah Kandjii-Murangi  Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa nchi hiyo Christine Hoebes mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako mjini Windhoek Namibia
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe. Edwin Paul Mhede alipowasili katika hoteli ya Safari mjini Windhoek, Namibia
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Manasheria Mkuu wa Serikali Dkt. Evaristo Longopa alipowasili katika hoteli ya Safari mjini Windhoek, Namibia
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt. Khatibu Kazungu alipowasili katika hoteli ya Safari mjini Windhoek, Namibia 
 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Augustine Mahiga na Waziri wa Elimu ya Juu, Mafunzo na Ubunifu wa Namibia Mhe. Dkt. Itah Kandjii-Murangi  alipowasili katika hoteli aliyofikia ya Safari mjini Windhoek, Namibia.










No comments: