Tuesday, May 1, 2018

SPIKA NDUGAI ATEMBELEA KIWANDA CHA ASASI KILICHOPO MKOANI IRINGA


MNEC wa Chama cha Mapinduzi kutoka Mkoani Iringa na mmoja wa wakurugenzi wa Kiwanda cha maziwa cha ASAS Bw.Salim Abri akimkaribisha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai wakati alipowasili kiwandani hapo na kufanya ziara ya kukagua uzalishaji wa kiwanda hicho mjini Iringa leo.
MNEC wa Chama cha Mapinduzi kutoka Mkoani Iringa na mmoja wa wakurugenzi wa Kiwanda cha maziwa cha ASAS Bw.Fuad Abri akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai wakati alipowasili kiwandani hapo na kufanya ziara ya kukagua uzalishaji wa kiwanda hicho mjini Iringa leo katikati ni MNEC wa CCM mkoa wa Iringa Bw. Salim Abri.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akizungumza na Ahmed Salim Mmoja wa wakurugenzi wa Kiwanda cha ASAS wakati alipowasili kiwandani hapo na kufanya ziara ya kukagua uzalishaji wa kiwanda hicho mjini Iringa leo katikati ni .MNEC wa Chama cha Mapinduzi CCM kutoka Mkoani Iringa na mmoja wa wakurugenzi wa Kiwanda cha maziwa cha ASAS Bw.Salim Abri.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akiendelea na ziara yake kiwandani hapo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akimsikiliza Bw. Fuad Abri Mkurugenzi wa Kiwanda cha maziwa cha ASAS wakati akitoa maelezo alipokembelea kiwanda hicho na kukagua uzalishaji pamoja na shughuli zingine za uzalishaji wa Bidhaa mbalimbali zinazofanyika kiwandani hapo leo mjini Iringa katikati ni MNEC wa CCM mkoa wa Iringa Bw. Salim Abri na wa pili kutoka kulia ni Mbunge wa jimbo la Kilolo Mh. Venance Mwamoto.
Fuad Abri Mkurugenzi wa Kiwanda cha maziwa cha Asas akitoa maelezo wa kwa Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai wakati alipokembelea kiwanda hicho na kukagua uzalishaji pamoja na shughuli zingine za uzalishaji wa Bidhaa mbalimbali zinazofanyika kiwandani hapo leo Mjini Iringa , Ahmed Salim mmoja wa wakurugenzi wa ASAS na Mbunge wa jimbo la Kilolo Mh. Venance Mwamoto.
ya wafanyakazi wa kiwanda hicho wakiendelea na kazi.
Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai wakati akitembelea kiwanda hicho na kukagua uzalishaji pamoja na shughuli zingine za uzalishaji wa Bidhaa mbalimbali zinazofanyika kiwandani hapo leo
Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai wakati akionyeshwa moja ya bidhaa zinazozalishwa na kiwanda cha ASAS wakati alipokembelea kiwanda hicho na kukagua uzalishaji pamoja na shughuli zingine za uzalishaji wa Bidhaa mbalimbali zinazofanyika kiwandani hapo leo wa pili kutoka kushoto ni MNEC wa CCM Mkoa wa Iringa na anayefuatia ni Ahmed Salim Mmoja wa wakurugenzi wa ASAS.
MNEC wa CCM mkoa wa Iringa Bw. Salim Abri akizungumza na Spika wa Bunge ofisini kwake wakati Spika wa Bunge Mh. Job Ndugai alipotembelea kiwanda cha Maziwa cha ASAS leo.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akizungumza jambo huku MNEC wa CCM Mkoa wa Iringa Bw. Salim Abri akimsikiliza wakati alipotembelea kiwanda cha maziwa cha ASAS mkoani Iringa leo
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akimsikiliza Mkurugenzi wa Kiwanda cha Maziwa cha ASAS Bw. Fuad Abri wakati akitoa ripoti ya kiwanda hicho wakati alipokitembelea na kukagua uzalishaji.

No comments: