Saturday, April 28, 2018

KONGAMANO LA TANZANIA YA VIWANDA LAFANA MKOANI IRINGA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage wakiimba wimbo wa Umoja na Mshikamano wakati wa Kongamano la Tanzania ya Viwanda lililohusu maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi Mkoani Iringa.
Baadhi ya wajumbe wa Kongamano la Tanzania ya Viwanda wakati wa maandalizi ya kuifikia Siku ya Mei Mosi wakiimba wimbo wa umoja na mshikamano, Mkoani Iringa.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage akiongea umuhimu wa kuwa na Tanzania ya Viwanda wakati wa Kongamano la maandalizi ya Mei Mosi lililofanyika mkoani Iringa Aprili 27, 2018.
Baadhi ya wajume wakifuatilia Kongamano la maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi walipokutana kujadili masuala ya Tanzania ya Viwanda Aprili 27, 2018.
Kaimu Mtendaji Mkuu OSHA Bi.Khadija Mwenda (katikati) akifuatilia mada zilizowasilishwa wakati wa Kongamano la Tanzania ya Viwanda lililofanyika Mkoani Iringa Aprili 27, 2018
Mkuu wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela akizungumza jambo wakati wa Kongamano la Tanzania ya Viwanda lililohusu maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi lililofanyika Mkoani Iringa Aprili 27, 2018.
Katibu Mkuu TUCTA Dk Yahaya Msingwa akizungumza jambo wakati wa Kongamano la Tanzania ya Viwanda lililohusu maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi lililofanyika Mkoani Iringa Aprili 27, 2018
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Amina Masenza akizungumza wakati wa Kongamano la kuelekea sikukuu ya wafanyakazi duniani lililofanyika mkoani Iringa Aprili 27, 2018.
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini Bw. Tumaini Nyamhokya akimsikiliza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista nje ya ukumbi wa Kichangani Iringa.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista (wan ne kutoka kushoto) na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage (kulia kwake) wakiwa katika picha ya baadhi ya Watendaji wa Serikali walipohudhuria katika kongamano la Tanzania ya Viwanda wakati wa maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi lililofanyika Iringa Aprili 27, 2018.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista akisalimia wajumbe waliohudhuria katika Kongamano la Tanzania ya Viwanda wakati wa maandalizi ya Sherehe za Mei Mosi lililofanyika mkoani Iringa Aprili 27, 2018.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista akitia saini kitabu cha wageni alipowasili katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Amina Masenza kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Mei Mosi.

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage akitia saini kitabu cha wageni alipowasili katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Amina Masenza kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Mei Mosi.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista akipokelewa na Mkoa wa Iringa Mhe.Amina Masenza alipowasili mkoani hapo kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Mei Mosi akiongozana na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhe.Charles Mwijage


Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Mhe.Jenista akisema jambo wakati wa kikao kifupi na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Mhe.Amina Masenza (hayupo pichani) wakati wa maandalizi ya shughuli za Mei Mosi mkoani hapo.

(PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU

No comments: