Saturday, April 28, 2018

CHAMA CHA WANASHERIA WANAWAKE TAWLA CHATOA MREJESHO WA MRADI WA ONGEZEKO LA WANAWAKE KATIKA SHUGHULI ZA SIASA NA UONGOZI

Isabela Nchimbi Afisa Mradi Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA akizungumza katika mkutano wa kutoa Mrejesho wa Matokeo ya Awamu ya Kwanza ya Mradi uliokuwa na lengo la Kuchangia Ongezeko la Uwakilishi na Ushiriki wa Wanawake katika Shughuli za Uongozi na Siasa uliofanyika kwenye Hoteli ya New Africa jijini Dar es salaam ikishirikisha wadau mbalimbali kutoka vyama vya siasa , Asasi za Kiraia, Msajili wa Vyama vya Siasa na Tume ya Uchaguzi, Mkutano huo umeandaliwa na Chama cha Wanasheria wanwake TAWLA
Isabela Nchimbi Afisa Mradi Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA akionyesha kitabu chenye malengo ya Mrejesho wa Matokeo ya Awamu ya Kwanza ya Mradi uliokuwa lengo la Kuchangia Ongezeko la Uwakilishi na Ushiriki wa Wanawake katika Shughuli za Uongozi na Siasa katika mkutano huo uliofanyika kwenye Hoteli ya ya New Africa jijini Dar es salaam.
Isabela Nchimbi Afisa Mradi Chama cha Wanasheria wanawake TAWLA akifafanua katika mkutano uliofanyika kwenye Hoteli ya ya New Africa jijini Dar es salaam
Sara Kinyaka Mwanachama wa Chama cha Wanasheria Wanawake TAWLA akichangia hoja katika mjadala wa mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya New Africa jana jijini Dar es salaam 
Rose Julius Afia Mradi wa Women Fund Tanzania akichangia hoja katika mjadala wa mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya New Africa jana jijini Dar es salaam. 
Catherine Vermand Mwanacha na Mwakilishi kutoka Chama cha Chadema akichangia hoja katika mjadala wa mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya New Africa jana jijini Dar es salaam. 
Baadhi ya wadau wa mkutano huo wakifuatilia mkutano huo.
 
Jaquiline Moshi kushoto Afisa Sheria TAWLA na Debora Nyasibaa Mhasibu TAWLA wakiwa katika mkutano huo uliofanyika kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es salaam.
  
Ofisa Kutoka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa.
Josephine Arnold Afisa Mradi TAWLA akifafanua baadhi ya hoja wakati wa mkutano huo.

No comments: