Monday, February 12, 2018

CCM YATOA SEMINA KWA VIONGOZI NA WANACHAMA KATA YA BONYOKW

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Bonyokwa, Mohamed Chende, akibadilishana na mawazo na Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kisiwani, Peter, Mwasingi (wa pili kushoto), kada wa CCM, Ebeneza Emmanuel (kulia) na kushoto ni kada wa chama hicho, Willy Kamwela,
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Kata ya Bonyokwa, Nuhu Mwambuma (kulia), akibadilishana mawazo na Mjumbe wa Halmashauri Kuu Wilaya ya Ilala, Mjumbe wa Halmashauri Kuu Kata ya Bonyokwa na Mjumbe wa Baraza UWT, Tumike Malilo (kushoto), kabla ya kuanza kwa semina hiyo. Katika ni kada wa chama hicho.
Katibu wa CCM Kata ya Bonyokwa, Mohamed Chende, akibadilishana na mawazo na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Kata ya Bonyokwa, Nuhu Mwambuma.
Katibu wa CCM Kata ya Bonyokwa, Mohamed Chende, akitoa hotuba yake wakati wa semina elekezi kwa viongozi wa CCM Kata ya Bonyokwa.
Washiriki wa semina hiyo.
 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilala, Abdulaziz Chuma, akifungua semina elekezi kwa viongozi wa CCM Kata ya Bonyokwa jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Katibu wa CCM Kata ya Bonyokwa, Mohamed Chende.
 Semina ikiendelea.
Kada wa CCM, Ebeneza Emmanuel akitoa mada katika semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Meza Kuu.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu Wilaya ya Ilala, Mjumbe wa Halmashauri Kuu Kata ya Bonyokwa na Mjumbe wa Baraza UWT, Tumike Malilo (kushoto), akiwa ukumbini kabla ya kuanza kwa semina hiyo.
Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kisiwani, Peter, Mwasingi (kushoto), akifuatilia mada katika semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Katibu wa CCM Kata ya Bonyokwa, Mohamed Chende (kushoto), Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Kisiwani, Peter Mwasingi (kulia) pamoja na kada wa chama hicho, Willy Kamwela, wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments: