Sunday, January 21, 2018

SEKTA BINAFSI YARIDHISHWA NA UHUSIANO WAKE NA SERIKALI

Baadhi ya Wawekezaji na wageni kutoka Taasisi za Kimataifa walioshiriki Mkutano wa tatu wa majadiliano kati ya wadau wa Sekta Binafsi na Sekta ya Umma uliofanyika mjini Dodoma.
Makamu Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini (TPSF), Bw. Salum Shamte, akizungumza wakati wa mkutano wa tatu kati ya Sekta Binafsi na Sekta ya Umma uliojadili namna ya kuboresha masuala ya biashara na uwekezaji nchini, mjini Dodoma.
Baadhi ya Wafanyabiashara na Wawekezaji walioshiriki Mkutano wa tatu wa majadiliano kati ya wadau wa Sekta Binafsi na Sekta ya Umma uliofanyika mjini Dodoma.
Baadhi ya Manaibu Mawaziri, Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu na Maafisa wengine kutoka Wizara mbalimbali wakifuatilia mkutano kati ya Sekta Binafsi na Sekta ya Umma, Mjini Dodoma.
Baadhi ya Wafanyabiashara na Wawekezaji walioshiriki Mkutano wa tatu wa majadiliano kati ya wadau wa Sekta Binafsi na Sekta ya Umma uliofanyika mjini Dodoma.
Sehemu ya wadau mbalimbali wakiwemo wabunge, wawekezaji na viongozi wa Serikali walioshiriki mkutano kati ya Sekta Binafsi na Sekta ya Umma, Mjini Dodoma.
Baadhi ya wabunge wakifuatilia kwa makini mkutano wa tatu wa wadau wa Sekta Binafsi na Sekta ya Umma uliofanyika mjini Dodoma

No comments: