Friday, December 22, 2017

Wafanyakazi wa Mgen Tanzania wauaga mwaka kwa hafla fupi na mawakala wake

Mwenyekiti wa Makampuni ya Lawrance Sikutwa & Associates (LSA) Bwana Lawrance Sikutwa akizungumza na wafanyakazi wa Kampuni Bima ya Mgen Tanzania Insurance Limited katika hafla ya kufunga mwaka iliyowashirikisha wateja na baadhi ya mawakala wa kampuni hiyo hapa nchini ili kufurahi pamoja, Hafla hiyo imefanyika jana katika makao makuu ya kampuni hiyo Masaki jijini Dar es salaam .
Mwenyekiti wa Makampuni ya Lawrance Sikutwa & Associates (LSA) Bwana Lawrance Sikutwa akifurahia jambo mara baada ya kumkabidhi zawadi Hope Kaiza liyefanya kazi kwenye kampuni ya Mgen Tanzania kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa kushoto ni Mkurugenzi wa Mgen Tanzania Insurance Limited Bw. David Tuhoye .
Mwenyekiti wa Makampuni ya Lawrance Sikutwa & Associates (LSA) Bwana Lawrance Sikutwa akifurahia jambo mara baada ya kuwakabidhi zawadi Mkurugenzi Mtendaji wa Lumumba Insurance Brokers Limited Bw. Jamal Lardhi kushoto na Tiraib Maghembe Mkuu wa Idara ya Fedha Lumumba Insurance Brokers Limited katikati anayewapongeza ni Mkurugenzi wa Mgen Tanzania Insurance Limited Bw. David Tuhoye
Mwenyekiti wa Makampuni ya Lawrance Sikutwa & Associates (LSA) Bwana Lawrance Sikutwa akimkabidhi zawadi Bw. Sudi Simba Afisa Mtendaji Mkuu wa Zurich Group Ltd kwa ushirikiano wa kampuni hiyo kwa Mgen Tanzania Insurance katikati ni Mkurugenzi wa Mgen Tanzania Insurance Limited Bw. David Tuhoye

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Mgen Tanzania Insurance Limited Bw. Charles Sumbwe akizungumza na wafanyakazi pamoja na wageni waalikwa katika hafla hiyo huku Mwenyekiti wa Makampuni ya Lawrance Sikutwa & Associates (LSA) Bwana Lawrance Sikutwa akisikiliza kushoto ni Mkurugenzi wa Mgen Tanzania Insurance Limited Bw. David Tuhoye 


Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Mgen Tanzania Insurance Limited Bw. Charles Sumbwe akizungumza na wafanyakazi pamoja na wageni waalikwa katika hafla hiyo huku Mwenyekiti wa Makampuni ya Lawrance Sikutwa & Associates (LSA) Bwana Lawrance Sikutwa akipiga makofi.


Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Bima ya Mgen Tanzania Insurance Limited Bw. Charles Sumbwe akizungumza huku akiwa na baadhi ya wakuu wa vitengo mbalimbali katika kampuni hiyo.


Bw. Ernest Kirumbi Mkuu wa Huduma Kampuni ya Mgen Tanzania Insurance Limited akikaribishwa wageni waalikwa mbalimbali waliohudhuria katika hafla hiyo iliyofanyika jana jijini Dar es salaam.


Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyo.


Mkuu wa Masoko MGen Tanzania Bw. Lugano Mkisi akiwa na kamati ya maandalizi ya hafla hiyo iliyoundwa baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo


No comments: