Wednesday, December 13, 2017

RAIS DKT. MAGUFULI AFUNGUA TAWI JIPYA LA BENKI YA CRDB MJINI DODOMA LEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akifungua rasmi Tawi la Benki ya CRDB lililopo katika jengo la LAPF mjini wa Dodoma leo. Wengine katika picha ni Waziri Mkuu mstaafu Mzee John Samwel Malecela (kulia kwa Rais), Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Phillip Mpango, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya CRDB, Ally Laay (kushoto kwa Rais), Mke wa Rais, Mama Jannet Magufuli na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya CRDB, Dkt. Charles Kimei pamoja na viongozi wengine wa kitaifa na wa mkoa wa Dodoma.































No comments: