Sunday, December 3, 2017

MAHAFALI YA 11 YA CHUO KIKUU ARDHI (ARU) YAFANA DAR ES SALAAM


Sehemu ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) wakishangilia katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa ARU, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya jijini Dar es Salaam leo Disemba 2 2017. (Imendaliwa na Robert Okanda Blogs)

Wahitimu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) wakifuatilia matukio katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa ARU, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya jijini Dar es Salaam leo Disemba 2 2017

Wahitimu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) wakifuatilia matukio katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa ARU, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya jijini Dar es Salaam leo Disemba 2 2017








Sehemu ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) wakishangilia katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa ARU, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya jijini Dar es Salaam leo Disemba 2

Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya (mwenye fimbo) akiwaongoza viongozi wa chuo hicho katika mahafali ya 11 ya ARU katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa naye jijini Dar es Salaam leo Disemba 2 2017


Wahitimu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) wakifuatilia matukio katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa ARU, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya jijini Dar es Salaam leo Disemba 2 2017

Wahitimu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) wakifuatilia matukio katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa ARU, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya jijini Dar es Salaam leo Disemba 2 2017

Bendi ya polisi ikiongoza maandamano ya viongozi wakati wa hafla hiyo.

Wahitimu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU) wakifuatilia matukio katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa na Mkuu wa ARU, Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya jijini Dar es Salaam leo Disemba 2 2017
Mkuu wa Chuo Kikuu Ardhi (ARU), Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya (mwenye fimbo) akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wafanyakazi wa chuo hicho katika mahafali ya 11 ya ARU katika sherehe za mahafali ya chuo hicho yaliyohudhurishwa naye jijini Dar es Salaam leo Disemba 2 2017

No comments: