Wednesday, November 22, 2017

STANDARD CHARTERED BANK MWENYEJI WA ‘ONE BELT- ONE ROAD’ (OBOR) AFRICA-CHINA ROADSHOW

   Mgeni Rasmi Waziri wa viwanda, biashara na uwekezaji, Mh. Charles Mwijage akihutubia waalikwa mbalimbali kuhusu fursa zinazopatikana katika uwekezaji. (OBOR Initiative) katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Stanchart bank jana,
    Sanjay Rughani akizungumza na wageni waalikwa katika hafla fupi ya chakula cha jioni ambayo Standard Chartered Bank iliwaandalia wateja wake ambao ni wenyeji kutoka China.
   Bw. Sun Chengfeng, Mkuu wa kitengo cha uchumi na biashara ambaye ni mwakilishi wa China nchini Tanzania akizungumza na waalikwa katika hafla ya chakula cha jioni iliyofanyika katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es salaam 
   Mgeni rasmi Mh. Charles Mwijage Waziri wa viwanda,biashara na uwekezaji akibadilishana mawazo na Bw, Chengfeng , Mkuu wa kitengo cha uchumi na biashara ambaye ni mwakilishi wa China nchini Tanzania katika hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na standard charterd bank
  Wawakilishi kutoka standard chartered bank china, pamoja na afisa mtendaji mkuu wa standard chartered bank Tanzania wakimsikiliza kwa makini Mh. Waziri Mwijage.
     Wakifuatilia kwa makini hotuba ya mgeni rasmi,Bw Sanjay Rughani, Bw.Sun Chengfeng na wawakilishi mbalimbali katika kitengo cha uchumi na biashara wanaoiwakilisha China nchini Tanzania

  Waalikwa mbalimbali wakimsikiliza bi. Maggie Li alipokuwa akizungumza katika hafla ya chakula cha jioni ambayo standard chartered iliwaandalia wateja wake wenyeji kutoka nchini China
 Afisa mtendaji mkuu wa benki ya Standard Chartered Tanzania Bw. Sanjay Rughani akizungumza na waandishi wa habari kuhusu OBOR initiative katika mkutano uliofanyika katika hoteli ya Hyatt Regency
  Afisa mtendaji mkuu wa Standard Chartered Bank Tanzania Bw. Sanjay Rughani (kushoto), Bi. Maggie Li Mkuu wa kitengo cha biashara na mauzo katika benki ya Standard chartered China(katikati), pamoja na Bw. Cleophas Ruhumbika ambae ni mwakilishi wa katibu mkuu wa viwanda na uwekezaji (kulia). Wakizungumza na wanahabari katika mkutano uliofanyika jana.


  Vijana kutoka kundi la Tanzania House of Talent (THT) wakitoa burudani kwa wageni na waalikwa wa standard chartered bank katika hafla iliyoandaliwa katika hoteli ya Hyatt Regency.
  Burudani kutoka kundi la THT ikiendelea

No comments: