Sunday, November 19, 2017

NAIBU WAZIRI WA UCHUKUZI NA MAWASILIANO MHANDISI NDITIYE ATEMBELEA SHIRIKA LA POSTA AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (kulia), akisalimiana na Kaimu Postamasta Mkuu wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Hassan Mwangombe, wakati alipofanya ziara kwenye shirika hilo, na kuongea na wafanyakazi, jijini Dar es Salaam leo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo na Mjumbe wa bodi ya shirika hilo, Bi. Khadija Shaaban.
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (kulia), akisalimiana na Mjumbe wa bodi ya shirika hilo, Bi. Khadija Shaaban. 
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (kulia), akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo.
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (kulia), akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo mara baada ya kusalimiana naye katika ziara yake kwenye shirika hilo, jijini leo.
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (kulia), akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo (kushoto), mara baada ya kutembelea Ofisi ya Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (katikati), katika ziara hiyo, jijini leo. 
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (wa pili kulia), akimsikiliza Kaimu Postamasta Mkuu wa TPC, Hassan Mwangombe, wakati akimpatia maelezo kuhusu shirika hilo, katika ziara hiyo, jijini Dar es Salaam leo.  
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (mbele), akimkaguza Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, mabasi mapya ya usafirishaji abiria na vifurushi. 
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (kushoto), akimweleza jambo Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, wakati akimkaguza mabasi mapya ya usafirishaji abiria na vifurushi.   
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (kushoto), akimpatia maelezo Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati), kuhusu vifurushi vinavyotumwa na kupokelewa kutoka nje ya nchi. 
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe (kushoto), akimpatia maelezo Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati), kuhusu ukaguzi wa vifurushi vinavyotumwa na kupokelewa kutoka nje ya nchi, alipofika kitengo cha Mamlaka ya Mapato (Forodha) Posta Kuu jijini Dar es Salaam.  
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati), akipatiwa maelezo na mmoja wa wakaguzi wa vifurushi vinavyotumwa nje ya nchi, alipofika kitengo cha kuhudumia vifurushi, Posta Kuu jijini Dar es Salaam. 
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (mbele), akipatiwa maelezo na mmoja wa wahudumu wa Kitengo cha Jamii Centre, Veronica Nyindi, alipotembelea Posta Kuu jijini Dar es Salaam katika ziara hiyo leo.
Mmoja wa wateja wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Dk. Louis Shika, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu huduma za shirika, alipokutwa na waandishi katika ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye.  
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, akielezwa jambo na Meneja wa Posta Mkoa wa Dar es Salaam, Margreth Mlyomi alipotembelea Posta Kuu jijini Dar es Salaam.  
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, akipatiwa maelezo na mmoja wa wafanyakazi wa Posta Kuu, Kitengo cha EMS, Sanjile Mbano (kulia), alipofika kwenye kitengo hicho, katika ziara hiyo, jijini Dar es Salaam leo. 
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye (katikati), akipatiwa maelezo na Meneja wa Idara ya EMS, John Tinga. 
Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ziara hiyo. 
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, akizungumza na waandishi wa habari katika ziara hiyo.
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe, akizungumza na waandishi wa habari wakati wa ziara hiyo. 
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, akizungumza na wafanyakazi wa Posta Makao Makuu na wa Mkoa wa Dar es Salaam alipokutana nao katika ziara hiyo. 
Mmoja wa wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Makao Makuu, David Hango, akimuuliza swali Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye katika mkutano huo. 
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania (TEWUTA-TPC), Makao Makuu, Ahmed Kaumu, akimuuliza swali Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye katika mkutano huo.  
Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, akijibu maswali yaliyoulizwa na wafanyakazi wa Shirika la Posta Makao Makuu na wa Mkoa wa Dar es Salaam katika mkutano huo.
Kaimu Postamasta Mkuu, Hassan Mwangombe, akizungumza wakati akimshukuru Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye baada ya kuzungumza na wafanyakazi hayo. 
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Shirika la Posta Tanzania (TEWUTA-TPC), Makao Makuu, Ahmed Kaumu, akimshukuru Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye katika mkutano huo. 
Mjumbe wa bodi ya Shirika la Posta, Bi. Khadija Shaaban, akimweleza jambo Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, wakati akiagana naye katika ziara hiyo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya TPC, Dk. Haruni Kondo. 

No comments: