Saturday, November 11, 2017

Mamlaka za Maji Nnchi Zatakiwa Kuanzisha Vituo Maalum vya Kupokelea Malalamiko ya Wateja

Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele akiwasili katika viunga Mako Makuu ya Shirika la Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco)kwa ajili ya hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Mamlaka hiyo leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo, Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi ya Dawasco Prof. Tolly Mbwete na Afisa Mtendaji Mkuu wa Dawasco Mhandisi Cyprian Luhemeja.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti aliyemaliza muda wake Meja Jenerali Kitundu, Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ally Hapi na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo akielezea jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Prof. Kitila Mkumbo akifafanua jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele.
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo akielezea jambo wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele.
Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco) Mhandisi Cyprian Luhemeja akiwasilisha taarifa fupi kuhusu Shirika hilo mbele ya Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (hayupo pichani) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waalikwa katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa Dawasco leo Jijini Dar es Salaam.
Mwakilishi wa Wafanyakazi wa Dawasco Bw. Abdallah Jongo akisoma risala kwa niaba ya wafanyakazi wa Shirika hilo mbele ya mgeni rasmi ambaye ni Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (mwenye tai) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Tano ya Wakurugenzi wa shirika hilo leo Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (katikati) akiteta jambo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Everist Ndikilo pamoja na Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Dawasco Prof. Toli Mbwete (kushoto) wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya leo Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele (kulia) akimkabidhi Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maji Safi na Maji taka Dar es Salaam (Dawasco) Mhandisi Cyprian Luhemeja zawadi ya saa yenye picha za wajumbe wa Bodi ya Dawasco iliyomaliza muda wake wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi mpya leo Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Mhandisi Issack Aloyce Kamwele akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Bodi mpya ya Tano ya Wakurugenzi wa Shirika la Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (Dawasco) mara baada ya kumaliza hafla ya uzinduzi wa Bodi hiyo leo Jijini Dar es Salaam.

No comments: