Thursday, November 30, 2017

KATIBU MKUU SIHABA NKINGA AFUNGUA BARAZA LA WAFANYAKAZI IDARA KUU MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE NA WATOTO.

 Katibu Mkuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi Sihaba Nkinga akizungumza na wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto katika kikao kilichofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Utawala na Rasilimali Watu kutoka Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bw. James Kibamba(kulia) akiwasilisha mapendekezo ya marekebisho ya Muundo wa Utumishi wa Idara ya Ustawi wa Jamii uliopitiwa na kujadiliwa na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu kutoka Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi. Deodatha Makani (kushoto) akifafanua masuala ya Kiutawala kwa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Mendeleo ya Jamii, Jinisa, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Kamishna Msaidizi wa Ustawi wa Jamii Bw. Rabikira Mushi (kulia) akifafanua jambo kwa Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Mendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mkurugenzi wa Maendeleo ya Jamii Bw. Patrick Golwike akisisitiza wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Idara Kuu Maendeleo ya Jamii, Jinsia,  Wazee na Watoto kuhusu umuhimu wa uzingatiaji wa Kada zote za Ustawi wa Jamii katika rasimu ya muundo unaopendekezwa kwenye Baraza lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango kutoka Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Bw. Atupile Mwambene akitoa ufafanuzi kuboresha rasimu ya marekebisho ya Muundo wa Utumishi wa Idara ya Ustawi wa Jamii kwa wajumbe wa Mkutano wa Baraza la Wafanyakazi Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika  mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mwanasheria kutoka  Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bi.Vicness Mayao akifafanua masuala ya kisheria  kwa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii waliokutana mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
  Mkurugenzi wa Maendeleo ya Watoto Bibi. Magreth Mussai akitoa maoni yake kuhusu maboresho ya Muundo wa Utumishi kwa Kada ya Ustawi wa Jamii kwa wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.
 Mkuu wa chuo cha Buhare Bw. Paschal Mahinyira akitoa hoja kwa Wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Idara kuu ya Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.


Baadhi ya wajumbe wawakilishi wa Watumishi wa Idara Kuu Maendeleo ya Jamii wakifuatilia mijadala mbalimbali iliyojiri katika Baraza la Wafanyakazi wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto lililofanyika mjini Morogoro Novemba 30, 2017.

Picha na Kitengocha Mawasiliano WAMJW

No comments: