Wednesday, October 18, 2017

TANZANIA YAZIDI KUIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI-RIPOTI YA REPOA

 Mtafiti Kutoka REPOA, Dk . Lucas Katera,Akiwasilisha   ripoti ya Nafasi ya nchi katika kufanya Biashara Duniani iliyotolewa na World Economic Forum na Repoa.
 Mkurugenzi wa Repoa nchini, Donald Mmari, akizungumza mara baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Nafasi ya Tanzania  katika kufanya Biashara Duniani
 Baadhi ya Watu waliohudhuria Uzinduzi wa Ripoti hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Repoa
 Mtafiti kutoka Repoa. Dk Blandina Kilama akizungumza mara baada ya kuwasilishwa Utafiti huo 
 Prof .Sufian Bukurura kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaam akichangia mada mara baada ya kuwasilisha kwa ripoti .
 Mtafiti Kutoka Repoa Prof.Paschal Mihyo akichangia mada  mara baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Nafasi ya Tanzania  katika kufanya Biashara Duniani



Katibu wa Kwanza wa sera na Uchumi  kutoka ubalozi Uholanzi Nchini, Eugene C.M Gies  akichangia mara baada ya kuwasilishwa kwa ripoti ya Nafasi ya Tanzania  katika kufanya Biashara Duniani
 Baadhi ya watu walioshiriki katika  uwasilishwaji kwa ripoti ya Nafasi ya Tanzania  katika kufanya Biashara Duniani.

No comments: