Thursday, August 10, 2017

GRACA MACHEL ATEMBELEA WAJASIRAIMALI WALIOJUMUIKA KATIKA MKUTANO WA WOMEN ADVANCING AFRICA

 Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca  Machel  akiangalia bidhaa za Wanawake wa Kitanzania ambao wameshiriki maonyesho wakati wa mkutano wa  Maendeleo ya Wanawake kwenye Uchumi na Jamii(Women Advance in Africa ) Uliofanyika Jijini Dar es Salaam
  Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca  Machel akizungumza  na Mkurugenzi Tamic Company Limited Jacqueline Baruti  wakati alipotembelea banda lake katika Mkutano wa Women Advancing Africa
  Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca  Machel   akiangalia moja ya bidhaa zinazozalishwa na wajasilamali wa Tanzania

  Mjane wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca  Machel  akitazama bidhaa zinazozalishwa na kampuni ya Masaimara Gardening Co Ltd , Kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Murwa Kihore akimuonyesha bidhaa zinazozalishwa .
 Mjane  wa Rais wa Zamani wa Afrika Kusini Mama Graca  Machel akiangalia banda la Women Advance in Africa. Picha na Humphrey Shao wa Globu ya Jamii 

No comments: