Sunday, June 25, 2017

Exim Bank Tanzania yafuturisha Wateja Wake Mikoa Mbali Mbali

 Wateja wa benki ya Exim waliopo Mtwara wakipata futari iliyoandaliwa na benki hiyo katika hoteli ya Tiffany Hotel jana.
 Wateja wa benki ya Exim waliopo Mtwara wakipata futari iliyoandaliwa na benki hiyo katika hoteli ya Tiffany Hotel jana.
 Wateja wa benki ya Exim waliopo Zanzibar wakipata futari iliyoandaliwa na benki hiyo katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort juzi.
 3A2ZSWSAQMeneja mwandamizi wa Exim Bank tawi la Zanzibar, Fred Umiro akizungumza na wateja wa benki hiyo baada ya futari maalum iliyoandaliwa na Exim Bank kwa wateja wao wa Zanzibar iliyofanyika katika hotel ya Zanzibar Beach Resort juzi.
 Wateja wa benki ya Exim waliopo Tanga wakipata futari iliyoandaliwa na benki hiyo katika hoteli ya Tiffany Hotel jana.
Wateja wa benki ya Exim waliopo Tanga wakipata futari iliyoandaliwa na benki hiyo katika hoteli ya Tiffany Hotel jana.

No comments: