Monday, June 5, 2017

DC MJEMA AWAONGOZA WAKAZI WA JIJI LA DAR SIKU MAZINGIRA

 Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Sophia Mjema  akizungumza katika  maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani,yaliyofanyika viwanja vya Mnazi mmoja,jijini Dar es Salaam leo.
  Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Sophia Mjema  akikabidhi cheti kwa Mwandishi wa ITV , Benjamini Mzinga kuwa mmoja wa wadau makini katika utunzaji wa Mazingira
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akizungumza katika mkutano wa kuadhimisha siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika katika viwanja vya mnazi mmoja wa Dar es Salaam
  Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Sophia Mjema  akikabidhi cheti cha kuwa mtunzaji bora wa mazingira katika Manispaa ya Ilala kwa Mwanahabari mkongwe nchini kutoka shirika la utangazaji TBC, Selemani Mkufya
  Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Sophia Mjemai  kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Osterbay Zefrin Lubuva kuwa  mshindi wa Mazingira
 Mkuu wa Wilaya ya Ilala akiwa katika picha ya Pamoja na baadhi ya viongozi wa mkoa wa Dar es Salaam na Watoto wa jeshila wokovu
Mkuu wa Wilaya ya Ilala , Sophia Mjema akikagua mabanda ya taasisi mbalimbali

No comments: