Thursday, May 25, 2017

Vodacom yaongeza bajeti ya zawadi Ligi Kuu mwaka huu

 Mkurugenzi wa biashara wa Vodacom Tanzania,Hisham Hendi,akiongea wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo za washindi mbalimbali wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Iliyoandaliwa na kampuni hiyo ikiwa ndiyo wadhamini wakuu wa ligi na  kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani city jijini Dar es Salaam jana.
 Waziri wa Michezo Utamaduni na sanaa Dkt, Harrison Mwakyembe(katikati) Mkurugenzi mkuu wa biashara wa Vodacom Tanzania,Hisham Hendi(kushoto)wakimkabidhi tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara 2016/2017  baba mzazi wa mchezaji wa simba,Mohamed Hussein”Tshabalala” baada ya mtoto wake kuchukua tuzo hiyo hapo jana wakati wa halfa ya utoaji tuzo mbalimbali za ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara iliyoandaliwa na wadhamini wakuu wa ligi na kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani city jijini dar es Salaam.
 Waziri wa Michezo Utamaduni na sanaa Dkt, Harrison Mwakyembe(katikati)akimshuhudia Mkurugenzi mkuu wa biashara wa Vodacom Tanzania,Hisham Hendi(kushoto)akimpongeza baba mzazi wa mchezaji wa simba,Mohamed Hussein”Tshabalala” baada ya mtoto wake kuibuka mshindi wa  tuzo ya mchezaji bora wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara 2016/2017  wakati wa halfa ya utoaji tuzo mbalimbali za ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara iliyoandaliwa na wadhamini wakuu wa ligi na kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani city jijini dar es Salaam.
 Waziri wa Michezo Utamaduni na sanaa Dkt, Harrison Mwakyembe(kushoto)akikaribishwa na  Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC,Nandi Mwiyombella  alipowasili kwenye hafla ya utoaji wa tuzo za washindi wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Iliyoandaliwa na wadhamni hao na  kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani city jijini Dar es Salaam
 Waziri wa Michezo Utamaduni na sanaa Dkt, Harrison Mwakyembe akimsikiliza  jambo kwa makini Mkurugenzi wa biashara wa Vodacom Tanzania,Hisham Hendi(katikati)wakati wa hafla ya utoaji wa tuzo za washindi wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Iliyoandaliwa na kampuni hiyo ikiwa ndiyo wadhamini wakuu wa ligi na  kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani city jijini Dar es Salaam jana,kulia ni Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC,Nandi Mwiyombella
 Waziri wa Michezo Utamaduni na sanaa Dkt, Harrison Mwakyembe, akiongea na wadau mbalimbali waliohudhuria hafla ya utoaji wa tuzo mbalimbali za washindi  wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara,Iliyoandaliwa na wadhamini wakuu wa ligi Vodacom Tanzania na  kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani city jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Michezo Utamaduni na sanaa Dkt, Harrison Mwakyembe,akipewa hongera na Mkurugenzi wa biashara wa Vodacom Tanzania,Hisham Hendi baada ya kuongea na wadau walioshiriki katika hafla ya utoaji tuzo mbalimbali za washindi  wa Ligi kuu bara,Iliyoandaliwa na wadhamini wakuu wa ligi Vodacom Tanzania na  kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani city jijini Dar es Salaam,katikati ni Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC,Nandi Mwiyombella.
 Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC,Nandi Mwiyombella,akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 84/- Katibu mkuu wa Yanga,Boniface Mkwasa baada ya timu yao kuibika mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara 2016/2017 wakati wa halfa ya utoaji tuzo mbalimbali jana katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
 Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania PLC,Nandi Mwiyombella,akimkabidhi hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 84/- Katibu mkuu wa Yanga,Boniface Mkwasa baada ya timu yao kuibika mabingwa wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara 2016/2017 wakati wa halfa ya utoaji tuzo mbalimbali jana katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa masoko wa Vodacom Tanzania,Ashutosh Tiwary(kushoto) akimkabidhi tuzo ya heshima,Kitwana Manara wakati wa halfa ya utoaji tuzo mbalimbali za ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara iliyoandaliwa na wadhamini wakuu wa ligi na kufanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani city jijini dar es Salaam.

No comments: