Friday, May 19, 2017

UNTOLD STORI YAWA GUMZO MAKUMBUSHO YA TAIFA DAR ES SALAAM

 Mhusika mkuu katika Mchezo wa Jukwaani wa 'UNTOLD SORY ' Amani Kipimo akiwa jukwaani katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini dar es Salaam.
 Sehemu ya Waigizaji  wa mchezo wa kuigiza wa Untoldy Story wakiwa jukwaani  wakati wa utambulishwaji wa mchezo huo
 Msanii mkongwe wa Luninga na Jukwaani Susan Lewis akiwa na Mhusika mkuu wa mchezo wa Untold Story Amani Kipimo 'Ngasu'
 sehemu ya watu waliofika kushuhudia mchezo huo wa Untold Story ambao ulibua hisia na kuwa gumzo kwa watu wengi sana
 Baadhi ya waigizaji wa mchezo huo wa jukwaani wakionyesha uwezo wao wa kucheza na jukwa
 Rais wa Shirikisho la Filamu nchini Simon Mwakifamba akisiamama kwa heshima mara baada ya kuona mchezo huo ambao ulivuta hisa za wengi
 Moja ya sehemu za mchezo huo wa kuigiza ukiwa jukwaani
 Mwanamuziki wa maharufu wa Injili Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki David Robert aliyevaa T Shirt Nyekundu akishuhudia igizo hilo la UntoldStory
Sehemu ya waigizaji wa igizo hilo
--

No comments: