Wednesday, May 17, 2017

KUNDI LA WASANII 7 MAARUFU KUTOKA CHINA NA WAPIGA PICHA 100 WAWASILI NCHINI KWA SHUGHULI ZA UTALII

Mwenyekiti wa bodi ya Utalii nchini, Jaji Thomas Mihayo akiwakaribisha Wasnaii hao katika Hotel ya Ramada Incore jijini Dar es Salaam
 Mwenyekiti wa bodi ya Utalii nchini, Jaji Thomas Mihayo  akikabidhi zwadi ya Tisheti kwa wageni hao ambao wamekuja kutalii nchini
Mwenyekiti wa bodi ya Utalii nchini, Jaji Thomas Mihayo akiwa katika picha ya pamoja na wasnii kutoka nchini china.
--
 Wasanii Maharu saba kutoka nchini China ,Lu Yi, Du Haitao,Yao Di,Tian Liang,Yin Zheng,Mai Dina na Hao Shaowen, wakishuka kwenye gari ndani ya uwanja wa ndege wa kimataifa Jijini Dar es Salaam wakitokea nchini  China  kwa ajili ya kutembelea mbuga za Wanyama hapa nchini na Vivutio vya kitalii.
 Msani kutoka nchini China,Yao Di akitoka katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam tayari kwa ajili ya ziara maalum katika vivutio mbalimbali nchini
 Msani kutoka china  akicheza ngoma za Asili na kundi la Sanaa la Wanne Star
 Mmoja wa Wasanii kutoka nchini China akifurahi na kundi hilo la Wasaniiwa Wanne Star
 Wasanii Maharu saba kutoka nchini China ,Lu Yi, Du Haitao,Yao Di,Tian Liang,Yin Zheng,Mai Dina na Hao Shaowen wakicheza ngoma kwa pamoja na kikundi cha Sanaa za utamaduni hapa nchini cha Wanne Star
 Msani kutoka nchini China,Yao Di akicheza ngoma za asili na kikundi cha Wanne Star
 Wasanii hao wakipiga picha na nyoka
  Wasanii hao wakipiga picha na nyoka

  Wasanii hao wakipiga picha na nyoka

No comments: